Lautaro Martinez hatoondoka Inter hali ya kuwa Barcelona iliripotiwa kuvutiwa na mchezaji huyo hii ni kwa mujibu wa makamu wa rais wa Inter Javier Zanetti.
Martinez alikuwa kwenye tetesi kubwa za kujiunga na miamba ya LaLiga Barcelona na wakati janga la Corona likiathiri uchumi wa vilabu vingi lakini uvumi huo uliendelea.
Mshambuliaji huyo kutoka Argentina alifunga magoli 21 katika mashinfdano yote na Inter wakiwa wamemaliza nafasi ya pili kunako Serie A pia walifika faiinali ya Europa League dhidi ya Sevilla msimu uliyopita.
“Lautaro hatoondoka Inter,” Zanetti aliiambia Fox Sports. Ni Barcelona pekee ambao wanamuhitaji, lakini Lautaro anajua tayari yupo katika klabu kubwa.
“Anaonekana mwenye furaha hapa Italia, nadhani ataendelea kuwepo hapa.
“Kwa sasa hawezi kuondoka, ni mchezaji wa hatma yetu ya sasa na baadaye.
Timu ya Inter Milan inayo nolewa na mwalimu Antonio Conte watacheza mchezo wa ufunguzi katika Serie A wakiwa nyumbani dhidi ya Fiorentina Septemba 26.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Latifa juma mohamed
Martinez alikuwa kwenye tetesi kubwa za kujiunga na miamba ya LaLiga Barcelona na wakati janga la Corona likiathiri uchumi wa vilabu vingi lakini uvumi huo uliendelea lakini kwa mujibu wa nafs yake ataendelea kusalia inter.
Nasra
Gud news
Adelta
Lautaro Ni maamuzi yake mwenyewe@meridianbettz
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa inter
Sadick
Inter Milan imeweka juhudi nyingi kutaka kutawala soka la Italy itafanya kosa kumuuza Lautaro Martinez kwenda Barcelona au klabu yoyote kwa sababu itakuwa inajiweka ktk ktk wakati mgumu kufikia lengo lake hilo#meridianbettz
Elika
Achague moja sasa
Caroline
Lautaro Bora abaki inter millan
Flomena
Bora abaki tu inter
David Pere
Martinez alikuwa kwenye tetesi kubwa za kujiunga na miamba ya LaLiga Barcelona na wakati janga la Corona likiathiri uchumi wa vilabu vingi lakini uvumi huo uliendelea lakini kwa mujibu wa nafs yake ataendelea kusalia inter.
Sauda
Uamuzi ni wake, kuondoka au kubaki
Hope mwaikuka
Lau uamuz ni wako
felister
uamuzi anao mwenyewe
Mwanahamisi
Bora abaki tuu inter
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kwa mashabiki wa Inter
Ernest
Lautaro Martinez alitakiwa kutumia nafasi hii kuchezea timu kubwa kama Barcelona ingeongeza CV kwenye Career yake
Mwajumah
Uwamuzi anao mwenyew tu#Meridianbettz
Tatu
Martinez alikuwa kwenye tetesi za kujiunga na Barcelona mda mrefu kabla ya vilabu vingine awajamchukua
Ester jackson
Wamefanya vizuri kutomuuza
Povel
Martinez abaki tu SAnsiro
rama
fresh endelea kukipiga inter mze
Shani
Habar njema ila achaguee mmoja
Khadija
Achague moja sasa#meridianbettz
Fatina
Bora ubaki tu inter
Theonestina
Maisha popote bhanaa
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Salma ngende
Uwamuzi ni wake
Fatuma kasomo
Maamuzi niyake
Genia Sikaluzwe
Yeye mwenyewe na maamzi yake
Saupha mohamed
Bora abaki tuu
aisha
Kama vipi abaki
Sabrina
Mwenye kisu kikali ndio atakula nyama Barcelona watulie kidogo wacha akaitumikie inter
Amiri Kayera
Nilijua inter lazm imkazoe maan inajenga kikos
Gabriel
janga la Corona likiathiri uchumi wa vilabu vingi lakini uvumi huo uliendelea lakini kwa mujibu wa nafs yake ataendelea kusalia inter.
Neema
Ni afadhalii abaki inter
Shafii
Barca wamelikosa jembe hilo.
Janeflora malisa
Vzr
Rose kapinga
Sakata kabumbu watu wnakuelewa!!
warda
Huyu yuko vizuri Inter hawawezi kumwachia
Theckla
Habari njema Asante meridianbet
Issa
Barca imemuwinda ssna mchezaji huyu na inter inaonyesha kama haiwez kumuachia
Magdalena
Bora Martinez kabaki Milan maana Milan wangepoteza kiungo muhimu sana