Klabu ya Man United imethibitisha kuwa imefanyiwa udukuzi ambao ulilenga kuathiri zaidi kitengo cha Teknolojia ya Mawasiliano ya Klabu.
Kupitia tamko la klabu, Man United wamebainisha kuwa genge la wahalifu lilifanya njama za kufanya udukuzi na wamejaribu kutekeleza hilo.
United licha ya kutokuwa na uhakika asilimia 100 juu ya taarifa binafsi zinazoweza Kuw zimechukuliwa, wanaamini taarifa binafsi ziko salama mechi yao ya leo dhidi ya West Browmwich Albion itaendelea.
Tamko la klabu linasema
“klabu imechukua hatua stahiki kupambana na shambulio hili na kwa sasa inashirikiana na wataalamu kwa ajili ya kuchunguza jambo hilo na kupunguza athari katika kitengo cha mawasiliano.”
Klabu imesisitiza kuwa suala kama hili lina namna na hatua za kufuata katika kulishughulikia na ndivyo klabu inavyofanya.
Tovuti na App vinaaminika kuwa havijaathiriwa, wasi wasi upo katika taarifa za siri za mashabiki na wateja wa Man United.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
magdalena
duh united nao siku hizi wamekuwa wazinguaji balaa
Rahma
Nic
Lydia Emmanuel Magoti
Siokitu kizuri walicho fanyiwa man U kwauwarifu wa kiteknolojia krabu Kama krabu itachukua hatua
Adelta
Hayo ni majanga
Caroline
Wadukuzi wamefanya yao.pole Man U
Povel
Duh
Sauda
United hawana jipya
zeiyana
Huu mwaka wao kila siku majanga tu kwao
Angelina
Man u msimu huu hawakuwa vizuri
Hopemwaikuka
Wadukuaj sio watu wazur
Nasra
Duh noma sana
aisha
Balaa zito hilo
Fatuma kasomo
Hatari
Latifa juma mohamed
Balaa zito, kiujumla msimu united hawakuwa vzr.
Saupha mohamed
Nomaaaa
Ester jackson
Duuuuh
Elika
Man u hawana jipya sasa
Sania
Duh
Tatu
Majanga hayo
warda
Habari sio poa