Ole Awaomba United Wamsajili Pjanic

Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer, amewashauri timu yake kuchukua saini ya Miralem Pjanic ili awe mrithi wa Pogba.

Ole ameyasema hayo baada ya tathmini ya muda kuhusu eneo lake la kiungo ambalo bado halijajua hatima ya Paul Pogba klabuni hapo, ambaye amebakiza mkataba wa mwaka mmoja kuwatumikia mashetani wekundu.

Kwa upande wa Pjanic, toka ujio wa Koeman amekuwa akipata wakati mgumu sana. Kuna uwezekano mkubwa sana wa mbosnia huyo kuondoka klabuni hapo majira yajayo ya joto.

Ole anaamini kuwa Pjanic anaweza kuja kucheza pamoja na Mc Tominay na kufanya makubwa kabisa kwa Manchester United. Ikumbukwe kuwa ripoti hii imetolewa endapo tu Paul Pogba ataondoka Man United.

Pogba ameeleza kwamba yupo katika kipindi cha furaha sana katika kikosi cha Man United na hakuna taarifa sahihi kama atasalia hapo au atatimka kwenda timu nyingine, ambapo Real Madrid na Juventus zimeonesha nia za kumpata.


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

11 Komentara

    Miralem Pjanic naye yupo vizuri

    Jibu

    Asitupangie

    Jibu

    Kama anastahili wamsajil tu

    Jibu

    Kama yuko vizuri wamsajili tuu

    Jibu

    Duh Pogba hawezi kupata mrithi

    Jibu

    Wamsajili tu

    Jibu

    Kama yuko vizuli wamsajili

    Jibu

    Wamsajiri tuu

    Jibu

    Asante kwa taarifa@meridianbettz

    Jibu

    Wamsajili

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.