Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amesema kuwa, Mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Timo Werner alivutiwa na kuwa na shauku juu ya mipango yake ndani ya klabu ya Chelsea, ndio sababu iliyomfanya akubali kujiunga nao.
“Nilikuwa na mazungumzo mazuri binafsi na Timo” Lampard alisema katika mkutano wa waandishi wa habari Ijumaa.

“Anaelewa mipango yetu ni nini, na kipi tunataka kufanya kama klabu. Tumefurahia ameamua kuja kwetu na kumtarajia kujiunga nae msimu ujao.”
Werner amesaini mkataba wa miaka mitano na The Blues kwa mkataba wenye thamani ya karibu £200,000 kwa wiki. Chelsea wamekubaliana na RB Leipzig kulipa ada ya pauni 47.5m kumsajili Mjerumani huyo.
Werner alimaliza msimu wa Bundesliga wa mwaka 2016- 17 akiwa na magoli 21, na kumfanya kuwa mfungaji bora wa mabao wa Ujerumani na kuisaidia klabu ya RB Leipzig kufuzu katika Ligi ya Mabingwa ya UEFA kwa mara ya kwanza kwenye historia ya klabu hiyo.
Kwa msimu wa 2019-20 pekee ana jumla ya magoli 32 ambapo kwa ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga ana jumla ya magoli 26, mashindano ya uefa 4 na kombe la ligi magoli matatu na kumfanya kua moja ya washambuliaji mahili sana kutoka ujerumani kiasi ya kumvutia Frank Lampard.


Frank Patrick
Tumuombee mazuri akiwa Chelsea
Ester jackson
Safii sana Chelsea kwa mwaka huu mtakuwa hatari sana mko vizuri katika usajili Warner anaweza kabisa
isha
Timo werner haujakosea chelsea ni bonge la club
Gabriel
Timo Werner n kiungo mzur sana maana ameonyesha maajabu makubwa sana kutokana na uwezo wake akiwa ujeruman bundasliga msimu wa mwaka 2016/17 na kutimiza magol 21 akiwa RB Leipzig ujeruman bundasliga na msimu wa 2019/20 magol 32 akiendelea kuwa RB Leipzig hivyo lampard mpaka kuona iko poa sana
Amiri Kayera
Namtabilia kufany mazur zaid
Janeflora malisa
Good
Tahiya
Ni mchezaji mzur naiman atafanya makubwa
Samiah
Tunamuombea azidi kufanya vzr akiwa pale chelsea
fatumakasomo
Tumuombee mazur tu
Omary lukumbi
Kama mchezaj anakua na furaha kwenda club ambayo moyo wake umependa kwenda kucheza mahali pale swali je lampard ataendelea kua katika mipango yake isiwe msimu mmoja au nusu msimu tuu mara hafai
Mwanaidi
Hata hivo Chelsea ni timu nzuri
mwakalosi
kweli alivutiwa na Chelsea maana alifosi sana mpaka kulazimishwa kuuzwa
Antony Luseno
Lampard anajipanga vyema kuisuka blues ambayo itakuwa haishikiki
Mwanahamisi
Chelsea Ni timu nzuri nakukubali sana
Khadija
Alivutiwa sana na chelsea maana alifosiwa sana mpaka kuuzwa#meridianbettz
Zeiyana
Habari nzuri kwa mashabiki wa Chelsea
Emmy cleopa
Chelsea iko vizur sana najivunia kuwa mshabiki wa hiyo timu kwa kwer
Devotha
Inaonekana msimu ujao chelsea itakua vizuri sana!
Rehema Dickson
Chelsea wanajioanga ipasavyo kwenye msimu ujao watakua moto vibaya mno
Ester mmakasa
Kila lakheri akiwa Chelsea na afanye vizuri.
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa
felister
karibu chamani timo werner
Lydia Emmanuel Magoti
Kweli alivutiwa na chelsea mahana alifosi mpaka kulazimishwa kuhuzwa
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Elika
Kila lenye heri kwake huko chelsea
Johnmary joel
Hongera kupata nafasi hiyo nenda ukazidi kufanya vizuri zaidi#meridianbett
Caroline
Chelsea watanufaika sana na Timo Werner
Dorophina
Ajakosea kuchagua klabu kubwa km Chelsea atakuza kipaji chake vzr
Aziza mushi
Habari njema kwa mashabiki wa Chelsea.
Samira
Tunasubiri kuona juhudi zako ndani zaidi ndani ya Chelsea
Neema hassan
Mashabiki tunamsubr kwa hamu..
Rehema
Goja tuone mashabiki tunamsubiri
Evaluziga
Habari nzuri kwa mashabiki
Sylvester
Chelsea wamepata bomhe la mchezaji na natarajia mengi kutoka kwake kwani yupo fit sana #meridianbettz
Sylvester
Chelsea wamepata bonge la mchezaji na natarajia mengi kutoka kwake kwani yupo fit sana #meridianbettz
Sadick
Kazi imebaki kwa Lampard kumupa nafasi ya kucheza kuonyesha uwezo wake#meridianbettz
Kenani
Ametisha sana
Njiku
Timo werner ni mchezaji mzuri sana kama ameisadia timu yake ya zamani rb leipzing kufudhu uefa hivyo bhasi sina shaka na timo atafanya hivyo hivyo kwa upande wa chelsea nakubali kazi yake bonge la player
Issa
Werner kama ndio timu ambayo uliipata basi fanya yaliyokuleta
Magdalena
Chelsea mmeshampata kiungo mahiri sasa kazi kwenu tunataka mrudi katika ubora wenu wa zamani
Shafii
Nina imani na Werner atafanya mazuri clubuni hapo tumuombee tu aendane vizuri na hali ya Chelsea
Christopher
Tumpe mda kwanza huyu jamaa,
Hamidu
Dogo anajua sana.. Lkn epl sio kwa mchezo.. #meridianbettz
Furahav
Haya Timo unesha makali yako hapo.
Amani
Chelsea kwa mwaka huu mtakuwa hatari sana mko vizuri katika usajili Warner anaweza
Theckla
Timo Werner ni mchezaji mzuri na pia huenda anamanzi na Chelsea pia
Povel
Timo Werner mchezaj mzur ili tusimalzeh maneno yte tuwek ya akida
Hope mwaikuka
Ni mchezaj mzur
Edgar
nakubali
David Pere
Kweli ataenda kicheza kwa kujituma sababu anaipenda timu yake mpya
Ernest
Ni usajili mzuri kwa upande wa Chelsea kwani wameimarisha kikosi chao.
warda
Anajitahidi sana kwa kweli#Meridianbettz
Salma
Ni mchezaji mzuri atafanya makubwa siku za usoni
Asia Abdy
Habar njema hz
Angelina
Habari njema kwa chelsea