Makala nyingine

Staa wa Barcelona, Gerarld Pique amewatambia wapinzani wao Espanyol wakijiandaa kukutana kwenye debi ya the Catalan Jumamosi hii. Staa huyu amesema kuwa yeye ana pesa nyingi mno kuzidi bajeti ya …

Kama ilivyokuwa matarajio ya wengi, na ilivyokuwa hamu ya wapenzi wa Manchester United ambao wanamsapoti aliyekuwa meneja wa mda mfupi Ole Gunnar Solskjaer, hatimae meneja huyu amechaguliwa kuwa meneja kwa …

Klabu ya Manchester United inadaiwa kubadilisha mipango yao ya uhamisho, wakipanga kuwatazamia zaidi vijana kwenye sera yao ya uhamisho kwenye madirisha yajayo ya uhamisho. Kwa mujibu wa chanzo cha taarifa …

Furaha ya mchezaji ni kuisaidia timu yake kupata matokeo kupitia yeye kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho wake. Jambo hilo huendana na kucheza mechi husika kwa juhudi zake na maarifa …

Meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane anaripotiwa kuwa tayari ameshambainisha mshambulio wa Liverpool Sadio Mane kama kipaumbele namba moja cha klabu kwenye dirisha la uhamisho la Msimu wa joto. Ikumbukwe …

Hebu tuwatizame wataalamu wa chini ya miaka 21 ambao ni hazina ya soka kwa taifa la Uingereza. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Marcus Rashford Ni mchezaji wa Manchester United, amezaliwa Oktoba 31,1997 kule Wythenshawe. …

Manchester United wanaripotiwa kuunga tela kumfukuzia Callum Hudson-Odoi ambaye Bayern Munich pia wanamtupia jicho wakijiandaa kuweka pesa mezani kwa ajili yake. Chelsea bado wanamtaka pia licha ya ukimya uliopo. Kwa …

Arsenal wanaripotiwa kuwa wametuma wawakilishi kwa ajili ya kumtupia kijicho staa wa Cagriali Nicolo Barella wakati akijichapia goli lake la kwanza kwenye gemu ya kimataifa akiwana timu yake ya taifa …

Aliyekuwa meneja wa Manchester United kabla hajatimuliwa Jose Mourinho, sasa anasema yupo katika maandalizi ya kukipokea kibarua kingine cha umeneja katika msimu wa joto unaokuja. Bwana huyu ambaye pia amewahi …

Kocha mkuu wa Ureno Fernando Santos hajafurahishwa na matokeo ambayo timu yake wameyapata dhidi ya Ukraine Ijumaa. Katika kuzungumzia sababu za kukosa ushindi anasema yeye anaitazama timu nzima kwa ujumla …

Messi amekuwa na bahati mbaya akirejea kikosini Argentina kwa kushindwa kuona nyavu huku akipata jeraha wakati timu yake ya taifa ikikubali kichapo cha bao 3-1 dhidi ya Venezuela. Nyota huyu …

Conor na Ronaldo…

Nyota wa UFC, McGregor amemzungumzia Ronaldo kutokana na historia yake na aina ya matokeo anayoleta kwenye soka na zao analolitoa katika klabu yake mpya ya Juventus kwamba ni mchezaji ambaye …

Huenda kampeni ya kusaka nafasi ya kushiriki michuano ya EURO 2020 ikaanza bila ya baadhi ya nyota katika vikosi vya baadhi ya timu za taifa kutokana na majeraha ya baadhi …

Katika soka mashabiki wamekuwa na nguvu sana katika kushinikiza baadhi ya maamuzi ya timu. Mashabiki huungana na wachezaji, kwa nafasi yao huwa wanakuwa na shinikizo lenye nguvu sana kwenye mamlaka …

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA wamemfungia Kokou Hougnimon Fagla ambaye alikuwa ni refarii kujihusisha na soka kwa maisha yake yote baada ya kupatikana na hatia ya rushwa. Kamati ya Maadili …

Kila mchezezaji mkubwa huwa na ndoto ambayo amekuwa akitamani kuitimiza kama mchezaji wa kulipwa, matamanio ya wachezaji hutofautiana na sio klia mchezaji huamua kuweka suala kama hilo wazi. Staa wa …

Baada ya kupokea vichapo ikiwa ni pamoja na kichapo kilichowatoa kwenye Kombe la FA dhidi ya Wolves, Juan Mata anaamini kuwa huu ndiyo wakati wa majaribu kwa Manchester United ambao …

Kitu nadra sana hiki, klabu yako inafungwa na unashangilia goli ambalo umefungwa na mpinzani wako! Huyu ndiyo Messi akikamilisha hattrick yake, wakati mwingine mafundi wanapaswa kupokea pongezi zo tu bila …

1 2 3 488 489 490 491 492 493 494