Makala nyingine

  Ili mpira ukubalike miongoni mwa wanamichezo na wapenda soka lazima kuwepo na watu wanaowashawishi kuwatazama pindi wakiwa uwanjani. Kutokana na hilo wanachangia wao kulipenda soka hilo. Pamoja na hilo …

  Ni mwendo wa dozi! Frankie De Jong ambaye amejiunga na Barcelona kuanzia msimu ujao ameendeleza historia mbovu kwa Madrid kwa kuiondoa kabisa nje ya michuano ya klabu bingwa barani …

  Habari sio zilezile tena, hii Manchester inatukumbusha ile iliyokuwepo miaka ya 2000 chini ya Sir. Alex ambayo haikuwa na wasiwasi kabisa hata ikifungwa magoli matatu ambayo kwao ilikuwa ni …

  Kuna taarifa kuwa meneja wa klabu ya Juventus, Maxi Allegri anatarajia kusepa klabuni hapo kwenye msimu wa joto unaokuja. Klabu ya Juventus wanadaiwa pia wapo kwenye maandalizi ya kumtafuta …

Nani Kulipa Kisasi?

  Siku ya kisasi! Kama ilivyo kawaida Man United wanaenda kukutana na PSG katika mchezo utakaokuwa wa kukata kwa shoka. Huku United akijua fika kwamba yupo nyuma kwa magoli mawili …

  Haya ni kama mafuriko yanayowakuta Madrid kila wanapojaribu kujinasua kwa kujishikilia katika majani yanayopatikana ndani ya mto waliomo. Inaweza kuwa sio dalili njema sana kwa timu ambayo ilikua mshindi …

Mourinho anatamani sana na haoni tatizo lolote hata kama leo hii akaitwa kuifundisha Madrid ambayo ana historia nayo tangu kipindi kirefu na anajua mambo yote yaliyopo ndani ya klabu hiyo. …

Kurudi kwa UEFA

Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …

Kumekuwa na stori kibao kuhusu hatma ya Mauro Icardi klabuni Inter Milan na kuhushwa kwake na vilabu mbalimbali. Mkewe Icardi Wanda Nara ambaye pia ni wakala wa mchezaji huyo ameonekana …

Tottenham wameshuhudia matumaini yao ya kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza yakiyoyoma baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Burnley na Chelsea kabla hawajalazimisha sare na Arsenal. Harry Kane anakubali kuwa …

Nje Ndani za Madrid

Madrid wamepoteza mechi yao ya pili mfululizo mbele ya Barcelona ambao wamekuwa kwenye msimu mzuri sana kwa sasa. Mechi hizo zote mbili wamezipoteza wakiwa nyumbani kwao ambapo mechi ya kwanza …

Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …

Liverpool wanaripotiwa kuwa katika matazamio ya kuamua kumnasa mshambuliaji wa Celta Vigo Maxi Gomez huku nyota huyu akidaiwa kupigiwa upatu na Luis Suarez. Kwa mujibu wa The Sun, staa wa …

Kama ilivyo kawaida wanasema mwenye bahati zake ametua ndani ya Italia na uwezo wake wote. Imekuwa kawaida sasa hivi kwa wababe wa vikombe ndani ya taifa hilo kushinda mechi zao …

Timu zimeanza kuweka mezani mipango ya kutumia pesa nyingi kuwabamba wachezaji wakali msimu huu unakuja wa joto. Manchester City kama klabu zingine nao kama kawaida wapo kwenye mpango wa kukipa …

Mashetani wekundu wanadaiwa kuwa kwenye mpango kabambe wa kumwaga pesa kumnasa nyota wa Borussiaa Dortmund Jadon Sancho. Tetesi zinadai kuwa Man U wamekutana na kikwazo cha kumnasa nyota huyu anayeripotiwa …

Nahodha wa Manchester United, Antonio Valencia ametoa ujumbe wake wenye hisia kali kwa mashabiki wake baada ya klabu kushindwa kuongeza kushinikiza ongezeko la mwaka mmoja kwenye mkataba wake klabuni hapo. …

Real Madrid wameshindwa kulipa kisasi, badala yake wanaendelea kuwa wateja tu kwa Barcelona baada kukubali tena kichapo cha bao 1-0 kwenye dimba lao kutoka kwa Barcelona! El clasico iliyopita Real …

Mauricio Pochettino aliingia dimnani leo dhidi ya Arsenal akiwa ameshapoteza matumaini kabisa ya kutwaa taji msimu huu. Kabla ya gemu ya leo alisisitiza kuwa Spurs wanahitaji muujiza labda ili waweze …

Unampa Nani Umeneja wa Mwezi? Mameneja watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha meneja bora wa mwezi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Mameneja hawa ni Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United, Unai …

1 2 3 490 491 492 493 494