Shiza Kichuya, Kuanza Upya Kuendane na Wakati

Maisha hayana adabu , maisha yanaweza kukupeleka sehemu ambayo hukuwahi waza kuwepo na yakiamua yameamua . Masikini kipindi mtu anasoma anawaza kua mwanasheria lakini mwisho wa siku anakua mwalimu wa Kiswahili sekondari , ana ndoto za kua rubani wa ndege mwisho wa siku anakua muuza duka , dada zetu wanaodanga hawakuwahi waza kufanya hiyo kazi wameikuta ukubwani . Maisha ndivyo yalivyo hayana adabu na hayako fair , yanakufanya uwe kwenye hali ambayo hukuwaza kua.

Mambo yanavyozidi kua mazuri ndipo matarajio hua mengi zaidii , unajikuta tu unajiwekea malengo makubwa kama vile mtoto wa shule jinsi inavyozidi kufaulu ndipo anawaza kazi za udaktari na urubani . Nyota inavyozidi kuwaka sanaa hata watu wanaokuzunguka wanakua namatarajio makubwa na wewe , baada ya Mbwana Samatta kusajiliwa TP MAZEMBE watanzania walikua na matarajio makubwa na Mbwana Samatta achana na wale waliomjua toka Mbagala Market ,safari ya kwenda kwenda KRC GENK na Aston Villa watu walitarajia na walijua itatokea atafikia hiyo hatua . Barcelona walikua na matarajio na Messi ndio maana wakaamua kumlea.

Shiza Ramadhani Kichuya yupo katika kanuni ya maisha yameamua kumpeleka asipo tarajia , nani alitarajia wakati kama huu hatakua chaguo la kwanza ? wala pili pengine hata la tatu hasiwepo ? Nyakati zinakwenda kasi sanaa tena zipo kasi sanaa watu wameshasahau ile kona ya moja kwa moja dhidi ya Yanga “kichuya kona”, Kichuya alikua Almasi tangu pale Manungu watu walimpenda na walimuogopa , kila kocha aliyekwenda kucheza na Mtibwa lazima awaze namna ya kumzuia Kichuya kuanzia winga ya kulia hadi kiungo mshambuliaji alikua zaidii ya Almasi , ulikua huwezi kupanga first eleven katika timu zote kubwa hapa bongo bila kumpanga Kichuya…..

Shiza ilikua lazima akacheze soka la viwango vingine, mabalaa yake wengi walitarajia akafayanye TP MAZEMBE , AL AHLY , MAMELODI SUNDOWN au sehemu yoyote kubwa Afrika na Ulaya , kipindi yupo kwenye ubora wake kwanini hakuondoka hakua na timing nzuri na ubora wake . Badala ya kuondoka wakati akiwa bora aliondoka baada ya kuonekana hana nafasi , kanuni ya maisha ilichukua nafasi yaliamua kumuondoa wakati asioutarajia na kuua matarajio ya wengi . Kanuni si lazima ifuatwe zingine lazima zipingwe, wengi wanafeli sanaa katika maisha kisa wanafata sanaa sheria sio kila sheria inakupa muongozo mzuri pengine sio kila ndoto lazima itimiee

54 Komentara

    huyu alijisahau kabisa kama yeye mchezaji ananenepa nenepa hovyo

    Jibu

    Kichuya alikuwa ni mchezaji mzuri ,tatizo la wachezaji wakitanzia wanalewa sifa mapema mwisho ubora wao unapotea kabisa

    Jibu

    Duuh!yuko katika wakati mgumu kichuya ,inabidi apambane na aongeze juhudi kama zamani atarudi katika nafasi yake.

    Jibu

    Hamna bhana kichuya fundi ila akapanda middle mzur wa kutengeneza na hilo ndo udhaifi wa Simba mkubwa sana

    Jibu

    Kichuya Yuko vzr sema tu kajisahau Kama yy ni mchezaji mazoezi kayatupa

    Jibu

    Kichuya wakala wake alimwangusha sana kwa kiwango chake akustail kucheZ timu za madaraja ya chn Kama vle thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    habari mazur

    Jibu

    Habari mjema

    Jibu

    Daaa!!! Kweli maisha ni safari ndefu sana.

    Jibu

    Kila wakati unakua na kanuni yake, hapa ukikosea kuifuata basi lazima baadae mambo yawe ndivosivyo, kichuya alisahau kama muda unaenda na mambo yanabadilika, hayo ndio matokeo yake

    Jibu

    Wakati wake ulishaisha

    Jibu

    Maisha yana mambo mengi sana kichuya alitamba kwa wakati wake sasa awaachie wenzie

    Jibu

    Alijasahau sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Kichuya namkubali Sana yupo vizuri

    Jibu

    Bado kiwango anacho Ila tatizo hapa bongo misumari mingi sana

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Ulevi wa sifa ndo ulimpotosha

    Jibu

    Ni vyema kuamua hivyo

    Jibu

    Kuanza upya sio ujinga

    Jibu

    Jamani nampenda Sana kichuya.arudi kuwa bize na mazoezi.ili arudi kwenye ubora wake

    Jibu

    Da! Kichuya namkubali sana

    Jibu

    Kichuya yuko vizuri ila alilewa sifa akajisahau ndo tatizo la wachezaji wa bongo ilo

    Jibu

    Kichuya anajipya kwa sasa

    Jibu

    Duuh kichuya anatakiwa afanye mazoezi sana

    Jibu

    Nihabari njema sanaaa

    Jibu

    Daah kichuya yupo vizuli sana#meridianbettz

    Jibu

    Kichuya nimchezaji mzuri Sana namwenyekasi yampira kwasasa azidi kuongeza Juudi aludi kwenye mwelekeo wake wakisoka

    Jibu

    Kichuya amefeli kurudi bongo..nilitegemea angekwenda hata south Africa#meridianbet

    Jibu

    Ni vizuri kuanza upya sio ujinga

    Jibu

    Ni mchezaj mzur Sana thnks meridian bet tz

    Jibu

    Kichuya yupo vizuri sana kwenye mpira

    Jibu

    Popote kambi kichuya

    Jibu

    Dah kweli bongo Nyoso

    Jibu

    Duuu tatzo kulewa sifa ndio kunakowapotezaa

    Jibu

    Yuko vizuri namkubali sana

    Jibu

    kila kitu kina wakati wake kichuya muda wake umeshaisha

    Jibu

    Hii imekaa vizuri ni somo kwa upande fulani

    Jibu

    Kichuya yuko vizuri sana

    Jibu

    afanye mazoezi sana kichuya asipoteze ndoto yake

    Jibu

    Yote ni maisha

    Jibu

    Dah bonge la makala. Pole yake#Meridianbettz

    Jibu

    Kichuya Yuko vizuri
    Ila kwa sasa afanye mazoezi kwa wingi

    Jibu

    Ameshapoteza brand yake

    Jibu

    Uwezo ushaishia hapo

    Jibu

    Kweli Kichuya anaonekana anastress na Maisha yake ya soka, Asante Meridianbet kwa makala nzuri.

    Jibu

    Kweli maisha hayana Adabu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Aliaza vizuri baada ya kujulikana sasa amekuwa hana ubora abadilike kuwa maarufu katika soka isiwe shida pambana uwe juu na sio kujiachia

    Jibu

    Itakua poa sana

    Jibu

    Kwa kwelii nimejifunza kitu hapa. Na pia sio kila ndoto lazima itimie

    Jibu

    Kichuya na mkubali Sana kwenye mpira

    Jibu

    Kira kitu kinaenda na bahati mungu ndiye hanapanga..!bado sana kichuya mri hunaruusu wew pambana tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.