James Ajiunga na Chelsea Kuelekea Mchezo wa Club World Cup

Reece James alijumuishwa katika kikosi cha Chelsea kwa ajili ya Kombe la Dunia la Vilabu, kilichosafiri hadi Abu Dhabi Jumapili licha ya Thomas Tuchel kusema atakosa michuano hiyo.

James Ajiunga na Chelsea Kuelekea Mchezo wa Club World Cup

James hakutarajiwa kurejea mapema baada ya kuuguza jeraha la misuli ya paja, huku kocha Tuchel akisema kabla ya mechi ya Plymouth beki huyo wa pembeni alihitaji “wiki kadhaa” kabla hata ya kurejea mazoezini.

Huku Edouard Mendy akijiunga na wachezaji wenzake baada ya kuichezea Senegal katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Jumapili, The Blues wanakosa wachezaji wawili pekee wa kikosi cha kwanza.

Ruben Loftus-Cheek, ambaye anauguza jeraha dogo, hajafunga safari, huku msimu wa Ben Chilwell ukiwa umepunguzwa na tatizo kubwa la goti.

Kwa sasa, hata hivyo, Chelsea hawana Tuchel, ambaye alipatikana na virusi vya corona na ana nia ya kuungana na timu yake hapo baadaye.


VUNA MKWANJA NA KENO

Dakika tano pekee zinakutosha kuwa mmoja wa washindi wa mkwanja mrefu ndani ya kasino pendwa ya meridianbettz katika sloti maridhawa ya KENO, moja ya michezo inayoipa thamani dau lako.

tetesi, Tetesi za Soka barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.