Pochettino Aomba Subira Kwenye Kikosi Chake
Mkufunzi wa Chelsea Mauricio Pochettino ametoa wito wa kuwa na subira na kikosi chake cha vijana wanapokabiliana na changamoto za Ligi kuu. Kocha huyo mkuu wa The Blues …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mkufunzi wa Chelsea Mauricio Pochettino ametoa wito wa kuwa na subira na kikosi chake cha vijana wanapokabiliana na changamoto za Ligi kuu. Kocha huyo mkuu wa The Blues …
Mkufunzi wa Chelsea Mauricio Pochettino anafikiria kuungana tena na nyota wa Paris Saint-Germain Neymar msimu huu wa joto. Kocha huyo wa zamani wa Tottenham huenda akalazimika kuhamisha haraka ili …
Chelsea wamemthibitisha kocha wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino kuwa meneja wao ajaye. Pochettino mwenye miaka 51, atachukua mikoba ya Stamford Bridge msimu huu wa joto baada ya kukubali …
Jamie Carragher amesema kuwa, Mauricio Pochettino atakuwa anafanya makosa kwa kurejea Tottenham kwani itakuwa sawa na kurejea kwa Kevin Keegan Newcastle United. Shinikizo linaongezeka kwa kocha wa Tottenham, Antonio …
Mauricio Pochettino amesema kuwa Harry Kane na Kylian Mbappe watalingana kwa kiwango kufuatia mchezo wao hapo Jumamosi huku akisisitiza kuwa wakiungana kwenye timu moja watakuwa wachezaji waliokamilika. Pochettino amewafundisha …
Aliyekuwa kocha wa zamani wa PSG, Mauricio Pochettino anataka kazi yake inayofuata ya ukocha iwe na klabu yenye uwezo wa kushinda Ligi ya Mabingwa baada ya uzoefu wake wa kufanya …
Zinedine Zidane ndiyo jina linalotajwa sana kama mbadala wa kocha wa Paris Saint-Germain Mauricio Pochettino licha ya klabu hiyo ya Ligue 1 kutosema chochote juu ya uwezekano wa kumleta kocha …
Klabu ya PSG inapanga kufanya mapinduzi makubwa katika uongozi wa timu hiyo na wamepanga kuvunja mkataba wa meneja wa timu hiyo Mauricio Pochettino. Paris Saint-Germain wana mwelekeo wa kumfukuza …
Taarifa za hivi majuzi kutoka kwa maripota mbalimbali zilidai Paris Saint-Germain wapo mbioni kumuondoa kocha klabu hiyo Mauricio Pochettino lakini raia huyo wa Argentina amedai kwamba yeye na Kylian Mbappe …
Kocha wa klabu ya Paris Saint-Germain Mauricio Pochettino amerudia kauli yake ya kuwa akili yake yake yote ipo PSG na huku akikataa kujibu tetesi zilizokuwa zinazunguka kuhusu kutaka kujiunga na …
Paris Saint-Germain (PSG) wanatarajiwa kuachana na Mauricio Pochettino wakati wa majira ya joto. Lakini haitakuwa rahisi, lazima watoboke kidogo. PSG walitumia €22m kumfuta kazi Laurent Blanc mwaka wa 2016 na …
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe aliripotiwa kuhusishwa na kutimikia Real Madrid lakini Leonardo amesema klabu hiyo itafanya kila kitu inachoweza kumfanya nyota huyo kusalia klabuni hapo. Katika mahojiano ya …
Meneja wa Paris Saint Germain, Maurico Pochettino akizungumzia juu ya kuhusishwa kwake na Manchester United amesema kuwa kuzungumzia suala hilo ni mtego, hawezi kunasa kwenye mtego huo. Pochettino aliwasili Manchester …
Kocha wa Paris Saint-Germain Mauricio Pochettino anaamini kwamba bado kuna nafasi ya Kylian Mbappe kutuliza akili na kubadili maamuzi yake ya kuondoka klabuni hapo baada ya mshambuliaji huyo kuthibitisha kwamba …
Bosi wa Paris Saint-Germain Mauricio Pochettino amesema kwamba Lionel Messi atakuwa sehemu ya kikosi kwenye mchezo wa Wikendi inayokuja ambapo PSG itafanya ziara ya kwenda Reims kwa mechi ya Ligue …
Mashabiki wa Paris Saint-Germain na ulimwengu unaotazama watalazimika kusubiri wiki zaidi ili kuona Lionel Messi akicheza mechi yake ya kwanza na klabu yake mpya, na Mauricio Pochettino hakumtaja katika kikosi …
Mauricio Pochettino ameongeza mkataba wake na Paris Saint-Germain amesaini dili ambayo itamuweka Parc des Princes mpaka 2023. Kocha huyo wa zamani wa Tottenham alijiunga na PSG kwa makaubaliano ya muda …
Bosi wa Paris Saint Germain, Mauricio Pochettino anaripotiwa kuwa amefanya mazungumzo na klabu yake baada ya kuhusishwa na klabu za Real Madrid na Tottenham. Wakati jitihada za Daniel Levy zikiendelea …
Klabu ya Tottenham tayari inafanya mazungumzo ya kumrejesha tena meneja wao wa zamani Mauricio Pochettino, ambaye kwa sasa anahudumu kama meneja kule Paris Saint-Germain. Kwa mujibu wa Skysport, Tottenham wamefikiria …
Mauricio Pochettino ameahidi kwamba Paris Saint-Germain “itapambana hadi kufa” kushinda Ligi ya Mabingwa. PSG itatafuta nafasi yao katika robo fainali ya mashindano ya Mabingwa wa Ulaya wakati watakapowakaribisha washindi mara …