Juventus Wanaangalia Dili Mara Mbili Kumpata Sancho na Van de Beek
Manchester United inaweza kuwauza Jadon Sancho na Donny van de Beek kwenda Juventus kwa pauni milioni 26 pekee. Gazeti la The Sun limeripoti kuwa wawili hao hawana mustakabali wa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Manchester United inaweza kuwauza Jadon Sancho na Donny van de Beek kwenda Juventus kwa pauni milioni 26 pekee. Gazeti la The Sun limeripoti kuwa wawili hao hawana mustakabali wa …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Donny Van de Beek hajaorodheshwa kwenye kikosi cha klabu hiyo kitakachoshiriki mihuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu. Kiungo Donny Van de Beek …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Donny Van De Beek amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza na klabu hiyo baada ya kutoka kwenye majeraha na kufanikiwa kufunga bao. Klabu ya …
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Donny Van De Beek anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi chote cha msimu kilichobakia. Kiungo huyo Van De …
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag amekiri kuwa mchezaji wake Donny van de Beek lazima ajiimarishe ili kuwa na mafanikio katika Manchester United, lakini anakataa kumkatia tamaa kiungo huyo. …
Klabu ya Everton imeripotiwa kurejea tena katika kinyang’anyiro cha kuinasa saini ya mshambuliaji wa Manchester United Donny van de Beek. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi anasemekana ‘kuwasihi’ maofisa wa …
Donny van de Beek ameiomba klabu yake ya Manchester United kuweza kumuachia kuondoka kwenye klabu hiyo ili akapate nafasi ya kucheza mara kwa mara. Mchezaji huyo wa kimataifa kutokea Uholanzi …
Donny Van De Beek ni miongoni mwa majina yanayopewa nafasi kubwa kwa vijana kule Uholanzi, nchini Uingereza, ni jina la chini kwenye orodha ya wachezaji wa United. Alisajiliwa kwa £34M …
Nyota wa Manchester United, Donny de Beek anaripotiwa kuwa ameamua kubadili wakala, na kuajiri wakala mpya katika jitihada zake za kujaribu kuondoka Old Trafford. Nyota huyu mwenye uraia wa Netherlands, …
Mchezaji wa Manchester United na timu ya Taifa ya Uholanzi, Donny Van de Beek, amejikuta akiachwa kwenye orodha ya wachezaji 28 wa timu ya Uholanzi. Kocha wa timu ya Taifa …
Ni muendelezo wa msimu mbaya kwa kiungo wa Man United na timu ya Taifa ya Uholanzi, Donny Van De Beek. Majeruhi kumkosesha nafasi ya kucheza Euro 2020. Van De Beek …
Kocha mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amekiri kwamba Donny va de Beek aliyesajiliwa majira ya kiangazi hana furaha huko Old Trafford kutokana na kukosa muda wa kucheza. Mchezaji …
Nyota wa Manchester United Ole Gunnar anasema kuwa Donny van de Beek ataweza kurejea na kuwa bora zaidi klabuni hapo licha ya kuwa na mwanzo mgumu pale Old Trafford. Nyota …
Klabu ya Inter Milanimeripotiwa kuwa wanafikiria uwezekano wa kufanya dili la mabadilishano kati ya nyota wa Manchester UnitedDonny van de Beek na Christian Eriksen. Kwa mujibu wa ripoti kutoka Italia, …
Usajili wa Donny Van De Beek haukutarajiwa miongoni mwa mashabiki wengi wa Man United. Licha ya kucheza mechi chache, Donny ni kama anaendelea kuonesha ubora wake ndani ya United. Kwenye …
Donny Van de Beek, Muholanzi asiye na maneno mengi ila uwezo wake uwanjani ni uthibitisho wa kiwango safi cha kucheza soka. Baada ya kutua Man United, mambo yamebadilika kidogo. Man …
Usajili wa Donny Van De Beek bado unaendelea kuwa gumzo miongoni mwa wadau wa soka. Ole Gunnar Solskjaer anaendelea kutupiwa lawama kwa kutompatia nafasi mchezaji huyo. Baadhi ya wachezaji wa …
Usajili wa Donny Van De Beek bado unaendelea kuzua gumzo kwa baadhi ya wadau wa soka duniani. Hii ni kufuatia na mchezaji huyo kutopewa nafasi ya kuonesha uwezo wake ndani …
Muholanzi wa mwisho kutoka Ajax Amsterdam kukipiga Manchester United ni Daley Blind kama sikosei, nadhani tunakumbuka nini kilitokea pale jamaa hakuwa na nyakati nzuri Sana Old Trafford. Kwenye huu usajili …
Baada ya kuonesha uwezo thabiti kwenye michezo 4 akiwa na Man United. Kocha – Ole Gunnar Solskjaer, amedokeza jukumu jipya kwa Donny Van De Beek. Van De Beek ameyaanza vyema …