Mchezaji wa LA Lakers Avamiwa Nyumbani Kwake

Mlinzi wa LA Lakers Kentavious Caldwell-Pope amefunguka kwamba yeye na kundi la marafiki walivamiwa na majambazi waliokuwa na bunduki nyumbani kwake mapema mwezi huu.

Tukio hilo lilitokea mwezi Juni 17, wakati majambazi watatu walipofika nyumbani kwake saa 04:00, kabla ya kushuka kwenye gari lao na kuelekeza bunduki zao moja kwa moja kwa mchezaji na marafiki zake, ambao walikuwa wakiongea nje ya nyumba wakati huo.

Kulingana na makadirio ya polisi, majambazi waliiba pesa zenye thamani ya dola 150,000, vito, simu za mkononi na saa aina za Rolex za walinzi wa Lakers.

Kwa bahati nzuri, siyo Caldwell-Pope wala marafiki wake waliopata majeraha yoyote.


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!

United, United Wakutana na Mawakala wa Camavinga, Meridianbet

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.