AFCON 2021: Senegal Watatu Wakutwa na Uviko-19

Golikipa wa timu ya Chelsea Edouard Mendy ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya taifa ya Senegal ambao wamekutwa na maambukizi ya UvIko-19 kabla ya kuanza kwa michuano ya mataifa huru Afrika.

Edouard Mendy, kapteini Kalidou Koulibaly na mshambuliaji Famara Diedhiou wamepatikana na maambukizi ya Uviko-19 baada ya kufanya vipimo na majibu kutoka jana Jumamosi kuwa wana maambukizi ya Uviko-19 baada ya kupima kwa kikosi cha timu ya taifa ya Senegal kabla ya saa 48.

Senagal
Senagal

Wachezaji wote watatu hawataweza kucheza mchezo wa Jumatatu dhidi ya Zimbabwe, isipokuwa kama watapima tena baadae na kukutwa hawana maambukizi na kuthibitisha kuwa kipimo cha kwanza kilikosea.

Timu ya taifa ya Senegal awali kabla ya kusafiri kwenda Cameroon walikuwa na wachezaji watatu na bechi la ufundi sita, ambao walikuwa na maambukizi. Timu 24 zinajiaanda kucheza mixhezo yao ta mataifa huru afrika ingawa zimeasiriwa na uviko-19 ila ni zimbabwe pekee amabyo imetangaza kuwa haina maambukizi ya uvikio-19


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.