Ecuador, Uruguay Zafuzu Kombe la Dunia 2022

Timu za taifa za Uruguay na Ecuador zimefanikiwa kukata tiketi ya kwenda Qatar ambako fainali za michuano ya kombe la Dunia zimepangwa kufayika mwezi Novemba mpaka Disemba mwaka huu.

Ecuador, Uruguay Zafuzu Kombe la Dunia 2022

Ecuador licha ya kufungwa na Paraguay kwa mabao 3-1 lakini wamefuzu kushiriki kombe la Dunia wakinufaika na ushindi wa Uruguay ambao waliifunga Peru 1-0 bao lililofungwa na G.D Arrascaeta kipindi cha kwanza cha mchezo.

Ecuador walishindwa kufuzu kombe la Dunia la mwaka 2018 ambalo lilifanyika Russia walikuwa wanahitaji alama moja pekee kujihakikishia nne za juu.

Peru bado wanashikiria hatima yao ya mchujo, ingawa Colombia na Chile zinaweza kuwapata wakati Paraguay tayari imetolewa kwenye nafasi ya kufuzu wanasubiri mechi ya mwisho Jumanne mjini Lima.


3500 NI YAKO UKIJIUNGA TU MERIDIANBET!

Una nafasi ya kupata bonasi ya shilingi 3500 kwa ajili ya kuanza safari yako ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet.

Kubeti Poa - Bonasi Kubwa

Jisajili sasa

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.