Khabib Anatamani Ngannou Achapane na Fury

Bingwa wa zamani wa lightweight Khabib Nurmagomedov amesema mpiganaji wa UFC wa uzito wa juu Francis Ngannou huenda akakabiliana na Tyson Fury na kuimarisha rekodi zake katika ngumi.

Mpiganaji huyo wa kimataifa wa Urusi anaamini kuwa ingependeza kwa Ngannou, ambaye tayari alipigana na Ciryl Gane, akishinda kwa alama kupigana na Tyson Fury.

“Ngannou? Nadhani ni lazima abaki na UFC. Lakini kama akihamia kwenye ndondi na anatengeneza dola milioni 50 au 60 – hana budi. Kwa nini?” Khabib aliieleza Sky Sports.

“Najua Ngannou anatoka katika maisha duni sana barani Afrika. Hakuwa na pesa, hana nyumba, hana chochote. “Kwa hiyo, ikiwa mtu atakulipa pesa zaidi basi nenda ukachukue.

“Ikiwa unataka kuweka historia, kuwa mtu mzito zaidi wa wakati wote basi lazima usalie UFC.

Hata hivyo, Ngannou atapambana dhidi ya bondia bora zaidi katika mchezo kama atashiriki kwenye pambano.

“Fury ndiye bora kwa sasa. Sijui, nadhani Fury yuko katika kiwango tofauti katika ndondi,” Khabib alisema.


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.