Klabu ya Bayern Munich imekubali tena kupokea kichapo kingine ndani ya ligi kuu ya Ujerumani leo dhidi ya timu ya Heidenheim iliyopanda daraja msimu huu kwa mabao matatu kwa mawili. …
Makala nyingine
Raffaele Palladino anasisitiza kuwa Napoli ni ‘upande imara’ licha ya matokeo mabaya msimu huu lakini anakiri kuwa hakuwahi kufanya mazungumzo ya kujiunga na Partenopei kama mwanasoka. Monza ya Palladino itaikaribisha …
Kiungo mahiri wa klabu ya Manchester City Kevin de Bruyne ameweka rekodi ndani ya klabu hiyo leo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi …
La Gazzetta dello Sport limeripoti kuwa Juventus wako tayari kuwauza Samuel Iling-Junior na Filip Kostic msimu wa joto na wanaweza kuchukua nafasi zao Mason Greenwood, Edon Zhegrova, Felipe Anderson au …
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Karim Benzema ametema nyongo baada ya kuulizwa juu ya ukame wake wa mabao toka mwezi Disemba …
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao manne kwa mawili dhidi ya klabu ya …
La Gazzetta dello Sport inathibitisha Mike Maignan anataka angalau €7m kuongeza mkataba wake na Milan, hivyo kufikia makubaliano itakuwa vigumu. Lakini, sio hali kama hiyo ambayo klabu na Gigio Donnarumma …
Daniel Maldini anathibitisha kuwa wawakilishi wa Venezuela walimpigia simu miezi michache iliyopita, lakini hajasikia kutoka kwao tena hivi majuzi. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, mtoto wa beki maarufu …
Nyota wa Napoli, Victor Osimhen alikaa kwa siku chache mjini Paris mapema wiki hii, na kuchochea tetesi za uhamisho wa kwenda PSG mwishoni mwa msimu huu. Mchezaji huyo wa kimataifa …
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa Aprili 5 2024 nchini Misri. Tayari kikosi cha Simba kimewasili …
KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi amesema kuwa kutokana na kile ambacho amekiandaa kwenye Uwanja wa mazoezi Kuna uwezekano mkubwa wa timu yake kufanya vema dhidi ya Mamelodi Sundowns leo. Yanga …
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Ange Postecoglou amesema mshambualiaji wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Brazil Richarlison atakosekana katika mchezo wa jumapili dhidi ya klabu ya Nottingham Forest. …
Kocha wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Tuchel amesema wachezaji wake watano kwenye kikosi hicho kuelekea mchezo wa kesho wa ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga. Wachezaji kama …
Kocha wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag inaelezwa bado ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo zaidi licha ya matokeo yasiyo ya kuridhisha hivi …
Kulingana na Tuttosport, Juventus wameanza mazungumzo na mawakala wa mshambuliaji wa Genoa na Italia Mateo Retegui kabla ya uwezekano wa uhamisho wa majira ya joto. Juventus wana nia ya kumsajili …
Roma wanalenga kuleta mlinzi wakati wa dirisha la usajili la majira ya kiangazi, na wanaweza kujaribiwa na beki wa Union Berlin Danilho Doekhi kulingana na ripoti nchini Ujerumani. Kituo cha …
Mwamuzi Alhadi Allaou Mahamat mwenye miaka (37) kutoka Chad ndiye atakayeamua mechi ya mkondo wa pili wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Al Ahly …
Cole Palmer alifunga hat-trick wakati Chelsea ikifunga mabao mawili dakika za lala salama na kuwachapa Manchester United 4-3 kwenye Uwanja wa Stamford Bridge. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester City …
Phil Foden kiungo wa klabu ya Manchester City amempa maua kiungo mwezake wa klabu hiyo Rodri baada ya mchezo wao wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Aston …
Mchezaji wa klabu ya Atletico Madrid Joao Felix anayekipiga kwa mkopo klabu ya Barcelona ameonesha kutamani mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Ureno Bernardo Silva kujiunga na Barcelona. Akifanya mazungumzo na …