Maradona Aruhusiwa Kutoka Hospitali.

Diego Maradona ambaye ni kocha mkuu wa Gimnasia y Esgrima La Plata, ameruhusiwa kutoka hospitali siku ya Jumatano baada ya kufanyiwa upasuaji wa ubongo.

Maradona alikuwa akiendelea na matibabu tangu afanyiwe operesheni wiki iliyopita baada ya kuwa tatizo la upungufu wa damu na dehydration.

Lakini, picha za kutoka Olivos Clinic iliyopo Buenos zilionesha Muarjentina huyo mwenye umri wa miaka 60 akiondoshwa katika kliniki na gari ya kubebea wagonjwa (ambulance).

“Ingeweza kuchukua maisha yake,” aliongea mwanasheria wake Matias Morla. “Anacho kikosa sasa ni umoja wa familia yake.

“Hali hapa ipo sawa sasa – kuwa na amani na ndugu.

“Wanatakiwa kuheshimiana, kuwaunganisha wageni wanaokuja kumjulia hali kwa sababu katika kesi hii Diego anatakiwa kuendelea kujitizamia na kuwa imara, mmoja anatakiwa kumpa amani na kuungana naye.

Maradona ambaye ameshinda kombe la dunia mwaka 1986 akiwa na Argentina na kuiongoza Napoli kutwaa mataji mawili ya Serie A amepewa mikoba ya kuinoa klabu ya Gimnasia inayoshiriki Superliga tangu mwaka 2019.


UMEJARIBU HII POKER YA VIDEO?

Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!

Meridianbet Casino

INGIA MCHEZONI!

21 Komentara

    Habari njema hizi kwa klabu yake

    Jibu

    afadhali kama karuhusiwa

    Jibu

    Mungu atie nguvu aludi kwenye nafasi yake

    Jibu

    Mwenyezi mungu awaponye

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Habari njema hii

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema Mungu aendelee kukuimarisha champ

    Jibu

    Dah afadhar karejea mzigo

    Jibu

    Afazali

    Jibu

    Tunashukuru mashabiki k

    Jibu

    Jambo la kheri

    Jibu

    Daah pole sana maradona

    Jibu

    Jambo la kheriii

    Jibu

    Asnt kwa taarif meridianbet

    Jibu

    Habari njema hizi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Diego japo kua hamepona alikini hawezi kurudi kwenye ali yake ile kama ya zamani

    Jibu

    Get well soon

    Jibu

    Matumiz ya madawa ya kulevya. Yamemuathir sana gwiji huyu wa soka

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.