Lisandro Martinez Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi.
Lisandro Martinez amechukua tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa nane ndani ya klabu ya Manchester United. Beki huyo ambaye ni usajili mpya ndani ya klabu hiyo akitokea klabu ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Lisandro Martinez amechukua tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa nane ndani ya klabu ya Manchester United. Beki huyo ambaye ni usajili mpya ndani ya klabu hiyo akitokea klabu ya …
Manchester United yaendelea ilipoishia kwenye mchezo ulioisha dhidi ya Liverpool mwanzoni mwa wiki hii. Mapema leo katika majira ya saa nane na nusu mchana Man united ilikua uwanjani katika dimba …
Kocha wa Manchester United Eric Ten Hag ameonesha kufurahishwa na kiwango kilichoonshwa na vijana wake katika mchezo dhidi ya mahasimu wao wakubwa klabu ya Liverpool. Mchezo huo ambao ulipigwa katika …
Klabu ya Man Utd itawakosa nyota wake nne kwenye mchezo wa kesho dhidi ya klabu Everton kwenye dimba la Goodison Park kocha wa klabu hiyo athibitisha. Man Utd inatafuta alama …
Mlinzi wa klabu ya Manchester United Phil Jones yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Bordeaux ili aweze kujiunga nayo kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Jones ambaye alikuwa nje ya …
Manchester United wanatajwa kuwa wapo tayari kumuacha Paul Pogba aondoke, lakini bado hawajapokea ofa ya dili lolote kuelekea dirisha la usajiri la mwezi Januari. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Premier League inanendelea leo usiku ikiwa ni wiki ya 14 Manchester United wanawaalika Washika mitutu wa London Arsenal katika dimba la Old Trafford. Red Devils wataendelea kuwa na Michael Carrick …
Chelsea inawaalika Manchester United katika uwanja wa Stamford Bridge katika wiki ya 13 ya Premier League. The Blues wameendelea kusalia kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na jumla ya alama …
Paul Merson amesema kwamba Manchester United wameanza vibaya msimu kutokana na kumsajili Christiano Ronaldo anachoamini Merson ni kwamba Ujio wa Chrisano ulikuja kuharibu mipango ya Ole Gunnar Solskjaer. Solskjaer alitimuliwa …
Tetesi zinasema, Barcelona wanapanga kuwasajili wachezaji watatu wa Chelsea – kiungo wa Morocco Hakim Ziyech, 28, winga wa England Callum Hudson-Odoi, 21, na kiungo wa Marekani Christian Pulisic, 23. …
Wamiliki wa klabu ya Manchester United, Familia ya Glazers wanaripotiwa kuwa hawajajiandaa kumpatia meneja Ole Gunnar pesa kwa ajili ya usajili wa dirisha la mwezi Januari. Licha ya kutumia pesa …
Ufaransa wanawaalika washika mkia katika kundi D Kazakhstan katika dimba la Parc des Princes mchezo wa kufuzu kwenda nchini Qatar kushiriki kombe la Dunia 2022. Taarifa ya Timu Ufaransa italazimika …
Nyota wa Manchesster United Paul Pogba amepata majeraha akiwa kwenye mazoezi ya timu ya taifa ya Ufaransa wakijiandaa na kichezo ya kimataifa ya kufuzu kombe la dunia 2022 nchini Qatar. …
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Dwight Yorke anaamini kikosi cha sasa cha United chini ya Ole Gunnar kinauwezo wa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza. Mchezaji huyo wa …
Manchester United ya Solkjaer inawaalika Manchester City ya Guardiola leo mapema majira ya 3:30 jioni saa za Afrika Mashariki. Debi ya Manchester iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka …
Dunia ina Paul Pogba wawili, Siku Paul Pogba wa Manchester United atakapoamua kumuiga yule Paul Pogba wa Ufaransa, Manchester United itatwaa ubingwa epl, UEFA na klabu bingwa ya dunia, halafu …
Man United wnaripotiwa kuwa wanapanga kuachana na wachezaji kama saba katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari. Mashetani Wekundu waliteka dirisha la usajili la hivi karibuni la uhamisho na kwa …
Takribani miezi 9 iliyopita, wakala wa Paul Pogba (Mino Raiola) aliuambia ulimwengu (kupitia vyombo vya habari), ni muda wa kiungo huyo kuondoka United, itatokea? Pogba wa sasa, sio sawa na …
Licha ya kumkosa Kylian Mbappe katika dirisha lililopita la usjaili Real Madrid haijakata tamaa bado wapo kwenye mipango ya kumleta Bernabeu mshambuliaji huyo wa Ufaransa ambaye mkataba wake na PSG …
Kinda wa Manchester United Mason Greenwood alifunga kwa mchezo wa tatu mfululizo katika ushindi wa 1-0 huko Wolverhampton siku ya Jumapili. Mbio za mshambuliaji huyo wa miaka 19 zimekuja wakati …