Kocha wa PSG – Thomas Tuchel amesema mshambuliaji wake – Neymar Jr atakuwa fiti kuwakabili Manchester United wiki ijayo katika mchezo wa UEFA.
Neymar hakucheza mchezo wa jana dhidi ya Nimes ambapo Paris Saint Germain walishinda 4-0. Pengine mashabiki mbalimbali walijiuliza sababu ya kutocheza na sasa kocha amefafanua vizuri.
“Neymar hana tatizo lolote. Tulizungumza kama nilivyofanya kwa Mbappe. Tulikuwa na majadiliano ya kweli na niliamua kumuacha leo apumzike. Atajiunga na sisi kesho na ataanza mazoezi ili kujiweka sawa kuwakabili Man United.”
Mchezo dhidi ya Nimes umekuja zikiwa ni siku 3 tu zimepita tangu Neymar apachike magoli 3 akiwa na timu ya taifa (Brazil). PSG wamecheza michezo 4 kati ya 7 kwenye Ligue 1 bila Neymar.
PSG watawakaribisha Manchester United siku ya Jumanne katika mzunguko wa kwanza wa UEFA.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
Hopemwaikuka
Hii mechi ni balaa
Fatuma kasomo
Itakua balaa
Amiri Kayera
Bonge la mechi naisubir Kwa hamu
Povel
United wajipange Sana MWAMBA neymar JR ni MO
Elika
Tunasubiri matokeo
Issa
Ni game ya. Kisasi kwa psg
aisha
Acha tuone nini kitatokea
Asia Abdy
We can’t wait
Janeflora malisa
Safi
Venerose
Itakuwa big mechi
Angelina
Bonge la mechi
Caroline
Man u jipangeni.neymar sio wa mchezo mchezo
Lydia Emmanuel Magoti
PSG wajipange wakingia kichwa kichwa watakula nyingi usiuzalau mchezo
Mwajumah
Itakua bonge la mechi ilo
Mwanahamisi
Big mechi
Tatu
Tusibili tuone sijui itakuje
Saupha mohamed
Itakua bonge LA mechi
Sauda
Mechi ngumu
Sabrina
Neymar anajambo lake
magdalena
acha tu awasubiri maana united siku hizi wamedorord sana hawana kikosi kilicho simama vizuri
Fatina mfingi
Safii
zeiyana
neymar alipewa mda wa kupunzika psg wapo vizuri
latifa juma mohamed
Neymar anajambo lake, litafanikisha tu.
Gabriel
Bonge la mechi