Stephen Curry anavyobeba Bendera ya Warriors

Stephen Curry: kwenye ulimwengu wa mpira wa kikapu kuna matukio na watu mbali mbali waliobeba historia ya mchezo huo, uliojizolea umaarufu mkubwa duniani huku ukuonekana kuheshimika zaidi nchini marekani ambako ligi ya mpira wa kikapu ya marekani inakadiriwa kufuatiliwa na mamilioni ya watu duniani kote.

Golden State Warriors’ Stephen Curry (30)

Katika mitaa ya Akron Jimbo la Uhio nchini Marekani anatokea mwamba ambae kwa sasa anawakilisha mji wa Califonia akiwa na timu ya Golden State Warriors kama mshambuliaji katika timu hiyo Wardell Stephen “Steph” Curry . Mshindi huyo mara sita wa NBA allstars anatajwa kua ndie mchezaji mwenye thamani zaidi katika wachezaji wanaocheza ligi ya mpira wa kikapu ya marekani

Kijana huyo wa mtoto wa mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu Dell Curry alianza kwa kucheza timu yake ya chuo inayoitwa WildCats. Ambako alipewa tuzo ya uchezaji bora wa mwaka mara mbili.

Mwaka 2014-15, Curry akashinda tuzo ya “MOST VALUABE PLAYER “MVP” kwa mara ya kwanza na kuiongoza Worriors kwenye ubingwa ambao haiku upata tangu mwaka 1975,

5 Komentara

    #MERIDIANBET thumbs up

    Jibu

    Kuidhamini kazi yako na kipaji chako humfanya mtu afike katika lengo lake .piga kazi baba

    Jibu

    Huyu jamaa hakupe delewa kupewa hiyo tuzo Bali amestahili kwani kaipigania timu yake mpaka wamechukua ubingwa

    Jibu

    Jamaaa amestshili kupewa ubigwa kwani kapigana sana ktk timu yake mpk amehakikisha amenyakuwa ubigwa

    Jibu

    Anastahili hongera kwa maana anapenda kipaji chake na anafanya vzr

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.