Kwa mujibu wa chapisho la Diario Sport, nyota wa Barcelona Lionel Messi tayari amesharejea mazoezini.
Nyota huyu alikuwa anauguza jeraha lake la goti na kuikosa mechi ya mwisho Barcelona dhidi ya Eiber ambayo ilimalizika kwa sare ya 1-1 kabla ya Krismasi.
Messi amerejea kwa kuchelewa baada ya likizo ya krismasi akiwa fiti na kujiandaa kwa ajili ya mechi ijayo ya miamba hawa wa La Liga. Barcelona wameanza mazoezi tayari kujiandaa na mechi ijayo dhidi ya Huesca -Jumapili.
Habari ambazo zinabamba zaidi katika vichwa vya habari za soka kuhusu Barcelona kwa sasa ni juu ya hatma ya staa huyu klabuni hapo, huku nyota huyu sasa ni rasmi anaweza kuanza kufanya mzaungumzo na kusaini makunaliano ya awali na klabu yeyote.
Taarifa zinasema kuwa nyota huyu huenda akasalia klabuni hapo kwa sasa hadi 2023 kabla hajaamua kwenda Marekani ambako ni ndoto yake kucheza baada ya La Liga, licha ya kuwa anahusishwa na vilabu kadhaa vikubwa vya Uingereza.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa barca
Chiku
Nazidi kupokea habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii inapendeza
Adelta
Inapendeza Sana kwa mashabiki
Sania
Messi hapo Barca ndio home apige kabumbu sasa
Angelina
Safi sana
Sarah
Good
Sabrina
Messi barca for life
Caroline
Safi sana Messi
felister
habari nzuri kwa mashabiki wa barca
Shakila mrope
Safi san messi
Mwanahamisi
Safi sana
Saupha mohamed
Jambo zuri
Magdalena
Safi sana messi
warda
Hongera yake kwa kurejea
Issa
Safi