Klabu ya Manchester United imeripotiwa kuwa wanageuza majeshi yao kumnasa Ivan Perisic kama mbdala wa nafasi ya Jadon Sancho klabuni hapo.
United wamekuwa wakimfukuzia kwa hali na mali nyota wa Borussia Dortmund Jadon Sancho, na kutokana na dau kubwa alilonalo staa huyu United walikuwa wanaendelea na mazungumzo ya kupunguziwa dau.
Jitihada zimetajwa kugonga mwamba, United wameamua kukaa kitako na kujifuta jasho kutazama nani anaweza kuwa mbadala wa bei nafuu ambaye anaweza kuchukua majukumu waliyotarajiwa kumpatia Jadon Sancho.
Ripoti za kutoka Uingereza zinasema kuwa klabu imeamua kuanza kumfuatilia Ivan Perisic ili aweze kuwa mbadala.
Hii inakuwa si mara ya kwanza United kumfukuzia Perisic, klabu hii ilihusishwa na staa huyu ilipokuwa chini ya Jose Mourinho lakini badala yake nyota huyu alienda klabu ya Bayern Munich kwa mkopo.
Kwa mujibu wa The Telegraph, United wameshachoshwa na mbio za Sancho na Perisic ndiye anatazamiwa kama mbdala ambaye anatajwa kuwa na dau la €20m.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Ernest
Hii itakuwa ngumu kumeza, Sancho ni bora zaidi kwa Perisic lakini anaweza akawa msaada
Caroline
Sancho ni sancho tu.ata wakitafuta mbadala wake hawezi kumfikia sancho sancho level nyingine kabisa
Shani
Man u kumchukua sancho ni safi ila kwa perisic naona hana umuhim kwa united
felister
nini kinakwamisha mpk washindwe kumpata Sancho…?
Mwanahamisi
Hii itakuwa ngumu kumeza
Lydia Emmanuel Magoti
Sancho nibora zaidi kwa Parisic sijui lakini anaweza akawa msahada
Fatina mfigi
Sancho Ni bora kwako!
Janeflora malisa
🔥🔥🔥
farida ahmadi
Sancho Yuko vizuri
kabogoro
kiuwezo ni mzuri lakn man utd anahitajika mtu mweny uwezo binafs au kipaj kam alovyo sancho ili brand iendelee kuwa juu kama zaman
Elika
Ni mchezaji mzuri sana
Hidaya
Ivan anaweza akawa msaada
Adelta
Sancho Ni mchezaji mzuri@meridianbettz
Hopemwaikuka
Dina uhakika na hilo
rama
duuu kwaiyo sancho usajili wake umeshindikana man united
Rose kapinga
Aongezee juhudi kidogo anaweza akamkaribia sancho!!
Tatu
Wote wako vizuri
Theonestina
Habari njema
Rehema
Ni mchezaji mzuri
Amiri Kayera
Iyo Simba akikosa nyama ata nyasi anakula good
Khadija
Sanchi ni mchezaji namkubali#meridianbettz
aisha
United safi
Sabrina
Ivan perisic hawazi kuwa mbadala wa sancho,Sancho chombo chengine ww kwanza Sancho umri wake na mambo anayoyafanya balaa uwezi kumfananisha na ivan umri wake umeenda man u wanatuzuga tu bado wanamfukuzia
Latifa juma mohamed
Hii itakuwa ngumu kumeza
Issa
Perisic umri umesonga united inabid ichukue wachezaj vijana
Mariam mtandama
Wote wako vizur
Gabriel
Ivan Perisic yuko vzur sana inakuwa si mara ya kwanza United kumfukuzia Perisic, klabu hii ilihusishwa na staa huyu ilipokuwa chini ya Jose Mourinho lakini badala yake nyota huyu alienda klabu ya Bayern Munich kwa mkopo.
Kwa mujibu wa The Telegraph, United wameshachoshwa na mbio za Sancho na Perisic ndiye anatazamiwa kama mbdala ambaye anatajwa kuwa na dau
Tumaini kasalile
Hayo maneno ya mfamaji man utd waweke mzigo kwa sancho sio kuhangaikia kwa ivan
Saupha mohamed
Mmm apo atalii
Theckla
Bado sana
marry
yuko vzr
Genia Sikaluzwe
Jamaa yuko vizuri
Emmy cleopa
Habar njema
Zeiyana
Man u kwenye usajiri bado kabic ingekua vizuri kama wangeipata saini ya sancho
Dorophina
Habari njema kama sancho amepata mbadala wake
Sauda
Bado sana tu
Nasra
Yuko vzuri Sana
magdalena
bora sana united walivyoachana na habari za sancho
Angelina
Sancho namkubali yuko vizuri
Neema
Sancho jembeee sana
Janeflora malisa
Kijan yup vzr
Povel
United wamekuwah watu wa romance Sana kwny sign za wachezaj mwisho closed the window hakuna sahhh yyte ya mchezaj waliopata
Mwajumah
Sancho yuko vizur
Samiah
Sancho yupo sawa
David Pere
itakuwa ngumu kumeza, Sancho ni bora zaidi kwa Perisic lakini anaweza akawa msaada