Nkurunzinza, Tasnia ya Michezo Itamkumbuka Daima

Raisi wa Burundi Mh. Pierre Nkurunzinza amefariki tarehe 9 mwezi Juni akiwa na umri wa miaka 55 kutokana na tatisho za mshtuko wa moyo. Tasnia ya michezo nchini Burundi na Jumuia ya Afrika mashariri kiujumla imepoteza mwanamichezo, mtu ambae katika kipindi chake cha uongozi ametumikia na kuhakikisha ana saidia sector ya michezo licha ya Kuishiriki.

Nkurunzinza alikua ni mfuasi wa soka wa kutupwa, ambae alisimamia kwa urahisi shughuli zake za uongozi na suala zima la michezo kwa kujihusisha na mchezo wa soka, mazoezi ya kukimbia, mbio za baskeli pamoja na mchezo wa mpira wa kikapu. Kiufupi hata masaa kadhaa kabla ya kifo chake alifanya mazoezi ya mpira wa kikapu,

Pierre Nkurunzinza anamiliki pia timu ya mpira wa miguu inayoshiri ligi kuu nchini Burundi inayoitwa Le Ngozi Footbal Club ambayo ipo kwenye mbio za kuwania ushindi wa ligi kuu nchini Burundi.

Le ngozi pia ni timu ya wachezaji wawili kutoka uganda Steven Mugisha na Allan Brian Kizza ambao wakiongea na waandishi wa habari wamesema “Imetugusa sana kumpoteza raisi Nkurunzinza anapenda sana Mpira wa miguu, mara nyingi tulikua nae mazoezini na alifurahia sana kua karibu na sisi, hata juma tatu tulikua nae uwanjani kwenye mazoezi, imetuumiza sana.”

Nkurunzinza amefanikiwa kua na Shahada ya usimamizi wa michezo aliyoipata kwenye Taasisi ya mafunzo ya michezo (IEPS) katika chuo kikuu cha Burundi.

40 Komentara

    Duh apumzike kwa amani

    Jibu

    Hakika nipengo kubwa kwa tasinia ya michezo

    Jibu

    Duuh R.I.P. tumuombee apumzike kwa amani na kwenye tasnia ya michezo alifanya mengi

    Jibu

    Ball control imelala hapo kwa mshuaaster Pierre R.I.P

    Jibu

    Well said, R.I. p Nkurunzinza

    Jibu

    R I P nkurunzinza

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    R ip 🙏🙏🙏🙏🙏

    Jibu

    Daah bwana ametoa na bwana ametwaaa.

    Jibu

    Kiukwel me namtambua Kama mwanaharakati wa tasnia ya michezo African hili n pigo kubwa sana kwa wapenda michezo kumpoteza mwanamichezo mwenzetu ambaye tulitarajia kuona michezo ikue baran African . R.I.P mh Nkurunzinza 🙏🙏

    Jibu

    Mwanaharakat wa michezo so sad pumzika kwa aman

    Jibu

    Tunamuomba Mungu ampumzishe kwa amani

    Jibu

    Kwanza alicheza mpira kabla ya kuwa rais wa Burundi na baada ya kuwa kiongozi aliwndeleza michezo Kama kawaida

    Jibu

    Pumzika kwa amani Baba

    Jibu

    Mpambanaji pumzik kwa amani hakika wanamichezo tutakukumbuka daima

    Jibu

    Daahi pumzika baba

    Jibu

    Nkurunzinza atakumbukwa daima

    Jibu

    R,I,P ampumzike kwa aman

    Jibu

    Mungu amlaze pahala pema peponi

    Jibu

    Mungu amlaze mahali pema peponi

    Jibu

    Tumepoteza mdau mkubwa mkubwa katika soka. ..daima tutakukumbuka Mr president#meridianbettz

    Jibu

    Pumzika kwa amani

    Jibu

    Ameacha gepu kubwa sana kwenye mpira apumzike kwa amani

    Jibu

    Pumzika kwa amani jeshiii

    Jibu

    Pumzika kwa amani Nkurunzinza

    Jibu

    Hakika nipengo kubwa kwa tasinia ya michezo# meridianbettz

    Jibu

    Ukiachana rais wa wanchi rais wa pila pia mwenyedhimungu hailanze roho yake maali pema nkurunzinza

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    Pumuzika kwa Amani Nkurunzinza

    Jibu

    Mungu ampumzishe salama

    Jibu

    Atakumbukwa kweli nkurunzia alikua anasapoti michezo na anapenda michezo

    Jibu

    Hakika mpira aliupenda sana lakini mtu pia Paul Kagame alienda mbele zaidi kwa kufadhili mashindano ya CECAFA. Tutakukumbuka daima kwenye eneo hili #meridianbettz

    Jibu

    Rip

    Jibu

    dah kwel nkurunziza japo alikuwa rais lkn hakubak nyuma katika kulisakata kabumbu RIP

    Jibu

    Alikuwa yupo vizuri Mwenyezi Mungu Ampunzishe mahala pema peponi#Meridianbettz

    Jibu

    Atakumbukwa sana Apumzike kwa aman

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    Pumzika kwa amani Mwenyezi Mungu akupe pumziko jema

    Jibu

    😭😭😭

    Jibu

    Rip mkulunzinza

    Jibu

Acha ujumbe