Kakolanya na Kyombo Kuongeza Mzuka Stars

WAKATI Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Kim Poulsen akitangaza wachezaji 25 watakaoingia kambini Agosti 21, mwaka huu, nyota wawili wameongezwa kwenye kikosi hicho ambao ni Beno Kakolanya na Habib Kyombo.

Nyota hao wataingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili dhidi ya Uganda kwa ajili ya kutafuta tiketi ya kufuzu fainali za CHAN.

Nyota wengine ni Aishi Manula, Aboutwalib Mshery, Kibwana Shomari, Shomary Kapombe, Mohamed Hussein, Pascal Msindo, Nathan Chilambo, Dickson Job, Bakari Mwamnyeto.

Kenedy Juma, Sospeter Bajana, Jonas Mkude, Mzamiru Yassin, Kelvin Nashon, Feisal Salum, Salum Aboubakar, Farid Mussa, Abdul Selemani, Relliants Lusajo, Kibu Denis, George Mpole, Anuary Jabir, na Danny Lyanga.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.