Azam fc Yapania Pointi Tatu za Singida, Nyota Sita Wauwahi Mchezo huo

Klabu ya Azam FC ipo tayari kuivaa Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu utakaopigwa Aprili 2 kwenye Dimba la Airtel, mkoani Singida, huku lengo likiwa kuendeleza ushindani wao kwenye msimamo wa ligi.

Azam fc Yapania Pointi Tatu za Singida, Nyota Sita Wauwahi Mchezo huoBaada ya mchezo huo mgumu, Azam FC wanatarajiwa kurejea Dar es Salaam kujiandaa na pambano lingine zito dhidi ya Simba SC ambao watakuwa wageni kwenye mchezo huo, hali inayoongeza uzito wa ratiba yao ya mechi zijazo.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa  

Azam fc Yapania Pointi Tatu za Singida, Nyota Sita Wauwahi Mchezo huoWakati huo huo, nyota kadhaa wa Azam FC akiwemo Feisal Salum, Aishi Manula, pamoja na Foba, Nado, Twalib na Lameck Lawi, wanatarajiwa kurejea nchini baada ya kuitumikia Taifa Stars katika mechi za kimataifa za FIFA series nchini Rwanda.

Azam fc Yapania Pointi Tatu za Singida, Nyota Sita Wauwahi Mchezo huoKwa mujibu wa taarifa, wachezaji hao wanatarajiwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kuelekea moja kwa moja mkoani Singida kuungana na wenzao kambini kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.