Chelsea Kuwakabili Tottenham Nusu Fainali Carabao Cup

Chelsea wamepangwa kumenyana na Tottenham Hotspur katika nusu fainali ya Kombe la Carabao.

Chelsea Kuwakabili Tottenham Nusu Fainal Carabao Cup

The Blues wamejikatia tiketi ya kutinga hatua ya nne ya mwisho ya mashindano hayo baada ya kuichapa 2-0 Brentford uegenini siku ya Jumatano.

Chelsea wamezishinda timu tatu za Premier League katika njia yao ya kutinga hatua hii, Aston Villa, Southampton na sasa Brentford.

Nusu fainali ya Kombe la Carabao imepangwa kufanyika katika wiki zinazoanza Januari 3 na 10.

Fainali itachezwa kwenye Uwanja wa Wembley Jumapili tarehe 27 Februari 2022.

Chelsea inajaribu kushinda Kombe la Ligi kwa mara ya sita katika historia ya klabu hiyo, huku mara ya mwisho kutwaa taji hilo ilikuwa mwaka 2015 chini ya Jose Mourinho.

Chelsea Kuwakabili Tottenham Nusu Fainal Carabao Cup

Droo ya Nusu ya fainali ya Carabao Cup

Arsenal vs Liverpool

Chelsea vs Tottenham


KUWA BINGWA MSIMU HUU WA SIKUKUU NA OCEAN CALL

Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.