FIFA: Offside Sasa Itaamuliwa 'Automatic'

Miaka ya hivi karibuni soka limebadilika kwa kiasi kikubwa na sasa FIFA wanaangalia namna ya kuendelea kufanya mapinduzi katika mchezo huo pendwa ulimwenguni kwa kuondoa makosa ya kibinadamu katika kufanya maamuzi kwa mchezaji aliyezidi (Offside).

FIFA: Offside Sasa Itaamuliwa 'Automatic'

Arsene Wenger ambaye ni mkuu wa Global Football Developmentanataka maamuzi ya Offside yafanyike automatic, na kuondoa maamuzi kutoka kwa usaidizi wa refa.

Hii pia imekuja baada ya kutokea kwa mkaanganyiko kwenye fainali ya UEFA Nations League, ambapo ililalamikiwa kwamba Kylian Mbappe alikuwa amezidi alipofunga bao la ushindi kwa timu ya Ufaransa dhidi ya Spain.

Kocha wa zamani wa Arsenal, Wenger alisema “Kuna uwezekano mkubwa, nilikuwa nimefanya siri lakini kuna mabadiliko makubwa kwenye uamuzi.”

“Kila kitu kimekuwa kikisomwa Teknolojia inaweza kufanya uamuzi kwa sentimita tano au sita kama ni offside au siyo.

FIFA wamelenga kuanza kutumia teknolojia hiyo mwaka 2022 ambapo offside itaamuliwa moja kwa moja bila kutegemea uamuzi kutoka kwa waamuzi kama ilivyokuwa hapo awali.


PIGA MKWANJA NA LA ROUGE

Fanya wiki yako iwe ya kuvutia zaidi, tunaelekea Los Angeles kutengeneza mkwanja na kasino maridhawa ya LA Rouge kutoka katika kasino za mtandaoni za meridianbettz, Fursa ya kufurahi huku unajaza pochi yako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.