Ibrahimovic: Kama Ningekuwa Mbappe Ningeenda Madrid

Mshambuliaji wa AC Milan Zlatan Ibrahimovic amemshauri Kylian Mbappe kama akitaka kuondoka PSG ahamie klabu ya Real Madrid.

Ibrahimovic: Kama Ningekuwa Mbappe Ningeenda Madrid

Hatima ya Kylian Mbappe itakuwa mjadala mkubwa kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi, huku fowadi huyo wa Paris Saint-Germain akitarajiwa kusepa bure, na Zlatan Ibrahimovic amemshauri atimkie Real Madrid.

Sio siri kwa Mbappe, mchezaji huyo amekuwa akitaka kuiwakilisha Los Blancos, lakini PSG watakuwa wamefanya kituko kama watapoteza nyota wao bure.

“Ni Kylian pekee ndiye anayeweza kujibu swali hili, inategemea kile anachotaka na anachofikiria,” Zlatan aliiambia L’Equipe alipoulizwa kuhusu hatima ya Mbappe.

“Ni kweli siku moja aliniuliza na nikamjibu, ‘Kama ningekuwa wewe, ningeenda Real Madrid.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.