Pepe Reina amesema Piotr Zielinski ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa ambaye alitakiwa kuchezea vilabu kama Real Madrid na Barcelona.
Zielinski ambaye ni kiungo wa Napoli amekuwa akistawi katika klabu ya the Partenopei tangu ajiunge nao akitokea klabu ya Empoli mwaka 2016.
Ni fowadi Jose Callejon (63) na Lorenzo Insigne (86) wametengeneza nafasi nyingi zaidi katika Serie A msimu uliyopita katika klabu kuliko Zielinski (53) wakati pia akiwa amepiga pasi nyingi zaidi zilizo kamilika kuliko mchezaji yeyote katika timu anayoichezea isipokuwa Fabian Ruiz na Giovanni Di Lorenzo.
Toni Kroos (60) alikuwa ni mchezaji pekee aliye tengeneza nafasi nyingi kuliko mchezaji yeyote wa Madrid au Barca msimu 2019-20.
Reina ambaye alikuwa ni mchezaji mwenzake kwa kipindi cha miaka miwili Naples, hana shaka na amaamini mchezaji huyo ana ubora wa kutosha kwaajili ya kuichezea moja ya klabu kubwa nchini Hispania.
Reina ambaye alikuwa kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Milan msimu uliyopita kwa sasa yupo Lazio, akiwa amedumu kwenye soka la kulipwa kwa takribani miaka 20.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 anadhani golikipa wa Manchester United, David de Gea ni chaguo sahihi katika kikosi cha Luis Enrique.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
Shani
Reina MTU makin
Dorophina
Reina ni bora haende barca
Angelina
Pepe yuko sahihi
Povel
Hayo mawazo yake pepe REINA kwn zielinski hajafikiah ubora wa kuwashawish miamba ya soka ulimwenguni kutapa tapa kutafuta saini yake ndani ya ulaya
warda
Ni kweli kabisa reina bonge la mchezaji
magdalena
aende tu barca madrid atakufa njaa
Sauda
Barcelona panamfaa sana
Fatuma kasomo
Nikweli mchezaji mzuri
Hopemwaikuka
Reina yuko vzur Sana afanye mpango aende club kubwa tu
Nasra
Uwezo wake upo vzuri
zeiyana
Reina wa kwaida tu hana uwezo huo
Tatu
Reina angalie wapi kuna upepo
farida ahmadi
Kambi popote
Issa
Zliensink ni mchezaj ambae kiwangochake na kasi yake madrid ni sehem sahih
aisha
Kama vipi aende tuuu barc
Saupha mohamed
Achezee popote tuu zote club bora
Sabrina
Akitua Barca itapendeza
Johnmary jo
Nimchezaji mzuri maamuzi ni yake#meridianbett#
Fatina mfigi
Ni mchezaji nzur ila yy kam yy afanye chaguo!
Mwajumah
Pepe yuko sahihi
Khadija
Barcelon panamfaa zaid
Elika
Hapo sasa itabidi achague moja na wapi aende wa sasa
Shani
Zliensk anatkiwa awe wa madrid