Benjamin Pavard amejieleza baada ya ujumbe wake kukosolewa kwamba Bayern Munich “Hawatakiwi kuigopa” Paris Saint-Germain.
Bayern Munich na PSG watakutana katika fainali ya Champions League mchezo utakao pigwa katika dimba la Estado da Luz siku ya Jumapili huku kukiwa na sintofahamu kama Pavard ataanza kwenye mchezo huo kwa mara ya kwanza nchini Ureno baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu mwezi uliyopita akiwa mazoezini.
Baada ya Bayern Munich kukabiliana na kuwatoa Lyon kwenye nusu fainali ya Champions League, mshindi wa kombe la Dunia na beki wa Bayern Munich Pavard ametoa tamko la kutoogopa timu yoyote iliyopo mbele yao.

Mfaransa Pavard amesababisha akosolewe vikali kutokana na ujumbe wake lakini amefafanua hisia zake kwamba hautakiwi kuugopa mpinzani yoyote katika mchezo kama wa fainali ya ligi ya Mabingwa.
“Paris ni timu kubwa, imekamilika kila idara, wanafanya kazi nzuri sana na wamesajili wachezaji wazuri sana,” Pavard aliiambia RMC Sport.
“Ninacho waza ndani ya kichwa changu hasa kwenye fainali, kama unaogopa kucheza dhidi ya PSG, Real Madrid au yoyote ni vyema ukakaa nyumbani tu.
“Kila mtu ana uhuru wa kufikiria kile anachokitaka, tumejiandaa kwaajili ya fainali.
Bayern wameshinda michezo yao 20 yote iliyopita katika mashindano yote na iliwapa 8-2 kichapo cha historia katika timu Barcelona.
“Nina furaha sana kuwepo katika fainali hii, lakini kama tukipoteza, sitopenda itakuwa kazi bure.”
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Furahav
Uko sahii pavad,uoga sio suluisho katka jambo fulani.
Mwajumah
Asante kwa makala
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa#meridianbet
Adelta
Pavard yalikuwa mawazo yake ilikuwatoa uoga wapinzani wake nakuifany fainal iwe mzani sawa ingawa waliowengi wanamchukuliah Kama msaliti vile thanks kwa update
Zeiyana
Kujiamni ndio kitu kinacho takiwa..!ukiangalia ni kweli akuna timu yoyote hinayoweza kuingia mziki wa Bayern tuwape pongezi tu PSG kwa hatua walio fikia na sio kwa ajili ya kufuzu ubingwa
Sauda
Yupo sahihi kabisa
Caroline
Mpira dk 90
Nasra
Yupo sawa katika hili
Lydia Emmanuel Magoti
Pavard kuwa jasili kujiamini ndio kitu muhimu ongea kwakitu ulicho kuwa nacho moyoni
Ernest
Hakuna baya lolote alilosema yeye alalikuwa na lengo la kuhamasisha wachezaji wenzake kufocus kwenye mchezo uliyombele yao ili kupata ushindi na kuwa mabingwa
Samiah
Mpira dkd 90
Dorophina
Pavard aliongea sahihi kutaka kuwaweka wapinzani wakae tayari kwa kitakacho tokea kwamba wasiogope
aisha
Uko sahihi brooo usiwe na wasiwasi
Fatuma kasomo
Gud news
Ester jackson
Kujiamini ndio mwanzo wa ushindi
Saupha mohamed
Yupo sahihi
Issa
Pavad ni matata
Sadick
Wanasema mdomo umeponza kichwa. Benjamini Pavard hakupaswa kutoa kauli yoyote inayoashiria hofu aliyonayo kwenye mechi ya leo badala yake alipaswa kutoa kauli ya kutia moyo na kujiamini kwa mchezo#meridianbettz
felister
Paris ni timu kubwa imekamilika kila idara
Fatina mfigi
Kujiamin ndo kitu muhimu kwa Jambo lolote lile mm naona kafanya saw pavard na Yuko sahihi!
JULIANA
Asante kwataharifa
rama
Maoni:safiii sana na bayern ushindi lazima leo
aisha
Imekaa powa kujiamini ndio mpango mzima
Antony Luseno
Wengi wapo Bayern ila PSG anaweza kuwaacha wengi wazi
Tatu
Pavard ujumbe wake unaonesha wa kujiamini sana hicho ndio kinachotakiwa kwenye timu
farida ahmadi
Yuko sahihi kabisah pavard
Sabrina
Pavard yupo sahihi utakiwi kuogopa waponzani wake
marry
maon ake
Christa
Kweli uoga wako ndo kuanguka kwako
Amiri Kayera
Duh leo ndo leo
Khadija
Mpira dakika90
Hope mwaikuka
Ni sahihi tu
jullie
kila mtu anatoa mawazo yake
Povel
Ni mtazamo wake tu huo ingawa jamiii imemwona Kama msaliti vle
Neema
Yupo sahihii kwa anachokisema
Shafii
Mechi itakua ya kibabe Sana.
Samira
Mi naona alipaswa kujiamini kwa mchezo wa leo na sio kutoa maneno ya hivyo
Latifa juma mohamed
Ni mtazamo wake tu huo ingawa jamiii imemwona Kama msaliti vle wajue kwamba hiyo ni km ganda la chungwa Kuna ngoz ya nje na ya ndani .
warda
Huyu alisha watabiria
magdalena
psg mpira waliucheza ipasavyo lakini haikuwa na jinsi vita walipigana lakini mwisho wa siku wakaambulia kichapo
Salma ngende
Alikuwa sahihi
Gabriel
Yuko sahihi pavard
Rose kapinga
Imeelewekaaaa iyoo!!
David Pere
Ni mtazamo wake tu huo ingawa jamiii imemwona Kama msaliti vle
Rehema
Yuko sahihi