Jack Grealish anasisitiza kuwa Kocha mkuu wa Uingereza Gareth Southgate hana tatizo na kiungo yeyote wa kikosi cha Uingereza alipokuwa akijibu madai yaliyotolewa na beki wa zamani Gary Neville. …
Makala nyingine
Vicent Aboubakar ameibeba timu yake ya Taifa hii leo baada ya kuipatia bao moja na kutoa pasi ya goli ambayo imesaidia wao kupata sare ya 3-3 kwenye mchezo wao waliokuwa …
Kipa wa Inter Milan na timu ya Taifa ya Cameroon Andre Onana ameondolewa kwenye kikosi cha Cameroon ambacho hii leo kimecheza dhidi ya Serbia kutokana na sababu za kinidhamu. …
Kocha mkuu wa Hispania Luis Enrique amewafaraji wachezaji wake kwa kutoa sare ya jana na kuridhika na ukweli kwamba timu yao inaelekea mechi ya mwisho ya Kundi E ya Kombe …
Golikipa wa Ujerumani Manuel Neuer ameonyesha kufarijika kwamba timu yake ya Taifa bado ipo hai katika Kombe la Dunia baada ya kupata sare ya 1-1 kwenye mchezo wao wa jana …
Kocha wa Ghana Otto Addo kila mara alitarajia kuwa mchezaji wa Spurs Son Heung-min angeendelea kuwa na taaluma nzuri, huku akisifu tabia na nidhamu ya nahodha huyo wa Korea Kusini. …
Beki wa kimataifa wa Brazil Marquinhos amefungaka na kusema timu hiyo iko vizuri hata ikimkosa mshambuliaji wao Neymar Jr ambae alipata majeraha katika mchezo dhidi ya Serbia. Neymar atakosekana kwenye …
Timu ya Taifa ya Ufaransa imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia baada ya kuicharaza timu ya Taifa ya Denmark kwa mabao 2-1 hapo …
Luke Shaw amesema Uingereza wana ari ya ziada kuelekea katika mpambano wao wa Kombe la Dunia dhidi ya Wales baada ya wapinzani wao kusherehekea kwa fujo kutolewa kwa Three Lions …
FIFA inadai kuwa hakukuwa na matatizo ya kiyoyozi kwenye Uwanja wa Al Bayt wakati wa mchezo wa England na Marekani baada ya wachezaji kadhaa wa kocha Gareth Southgate kulalamika kuwa …
Aurelien Tchouameni amepuuzi mbali mapendekezo ya kikosi cha Ufaransa kuwa mahali pazuri zaidi bila Karim Benzema baada ya kufika raundi ya mtoano ya Kombe la Dunia. Kikosi cha Didier …
Lionel Messi amesema kampeni ya Argentina ya Kombe la Dunia sasa imeanza rasmi baada ya kuiwezesha timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Mexico ili kuzuia kuondolewa mapema katika mashindano hayo. …
Lionel Messi alikuwa na mzigo mzito mabegani mwake kurejesha hatima ya Argentina baada ya kuhamasisha timu yake kupata ushindi usiku wa jana dhidi ya Mexico. Messi alifunga bao muhimu …
Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa Raphael Varane na klabu ya Mnchester United amerejea kwenye kikosi cha kwanz cha kocha Didier Deschamps dhidi ya timu ya taifa ya Denmark …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Poland na klabu ya Fc Barcelona Roberto Lewandowski amefanikiwa kufunga bao lake la kanza kwenye michuano ya kombe la dunia leo dhidi ya timu …
Wachezaji wa timu ya taifa ya Uingereza Phil Foden na Trent Alexender Arnnold wamezua gumzo kwa mashabiki wa timu ya taifa ya Uingereza baada ya kuwekwa benchi kwa wachezaji hao. …
Eden Hazard anakubali kuwa Ubelgiji ilikuwa na nafasi nzuri zaidi ya kushinda Kombe la Dunia wakati ‘kizazi chao cha dhahabu’ kilikuwa katika kilele chake mnamo 2018. Ubelgiji ilifurahia Kombe …
Kocha mkuu wa Uholanzi Louis van Gaal anaamini kwamba Uholanzi lazima iboreshe zaidi kiwango chake ikiwa wanataka kushinda Kombe la Dunia, akikubali kuwa Ecuador walikuwa bora zaidi kuliko wao katika …
Kocha wa Denmark Kasper Hjulmand amesema kwamba hatishwi na Kylian Mbappe lakini alikubali kwamba kuna mambo mengi tu unaweza kufanya kumzuia mshambuliaji huyo wa Ufaransa. Mbappe alifunga na kutoa …
Mchezaji wa timu ya Taifa ya Marekani Yunus Musah anaamini kuwa ulimwengu mzima utauona ubora wa Marekani baada ya kuwabana Uingereza kwa sare tasa katika mechi ya pili kwenye Uwanja …

