Timu ya Taifa ya Ecuador imeanza vyema michuano hii ya Kombe la Dunia baada ya kuitungua kwa mabao 2-0 Qatar ambaye ndiye mwenyeji wa michuano hii nyumbani kwake katika uwanja …
Makala nyingine
Ile Michuano mikubwa kwenye ulimwengu wa Soka dunia inaanza kutimua vumbi Novemba 20/2022, ambapo mwenyeji Qatar atacheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Equador kwenye Kundi A, lenye miamba wengine kama …
Mchezaji wa timu ya Monaco na timu ya Taifa ya Ufaransa Youssouf Fofana amesema kuwa, atafanya kila awezalo ili kupata nafasi katika kikosi cha Ufaransa cha kuanzia kwenye Kombe la …
Mchezaji wa Liverpool na timu ya Taifa ya Uingereza Jordan Henderson anaamini kuwa vijana wa Uingereza wanapaswa kupata msukumo kutokana na mafanikio ya Euro ya wanawake kuipeleka kwenye Kombe la …
Kocha mkuu wa Marekani Gregg Berhalter ana imani kikosi chake kinaweza kumshinda yeyote, huku timu yake wakijiandaa kuanza kampeni ya Kombe la Dunia dhidi ya Wales. Wakiwa wamekosa kufuzu kwa …
Baadhi ya mataifa mashuhuri Barani Ulaya yamepanga kugomea agizo la shirikisho la mpira duniani Fifa baada ya kupanga kuvaa vitambaa vya unahodha vyenye alama za upinde wakati huo Fifa imekataza. …
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Brazil anayekipiga katika klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza Richarlison amefunguka na kusema wachezaji wa timu hiyo watapambana kwa kila namna ili kubeba kombe …
Golikipa wa Arsenal Aaron Ramsdale amesema kuwa Bukayo Saka anaweza kustawi wakati wa kampeni ya Kombe la Dunia la Uingereza baada ya kukabiliana na tatizo la kukosa penalti kwenye fainali …
Mchezaji wa Brazil Vinicius Junior alihofia kwamba angekosa kampeni ya Kombe la Dunia akiwa na timu yake ya Taifa kutokana na majeraha baada ya kulengwa na changamoto “chafu” katika maandalizi …
Wachezaji wa Brazil Rodrygo na Marquinhos wamewaonya wachezaji wenzao juu ya kujiamini zaidi kulekea Kombe la Dunia, huku wakiwa ni timu inayopigiwa chapuo na watu wengi kuwa na nafasi kubwa …
Mchezaji wa Manchester City Phil Foden amesema kuwa bado Uingereza haijaona kiwango chake bora, hivyo ameapa kuonyesha kiwango hicho kwenye michuano hii na kueleza kuwa nia yake ya kufikia viwango …
Gwiji wa Arsenal Ray Parlour amemtaka Gareth Southgate kuwaanzisha wachezaji wawili ambao wapo kwenye kiwango kizuri mpaka sasa ambao ni Ben White wa Arsenal na James Maddison wa Leicester City …
Shirikisho la Soka la Senegal limethibitisha kuwa mchezaji wa FC Bayern Munich na timu ya Taifa ya Senegal Sadio Mane ameondolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia kutokana na jeraha …
Familia ya kifalme ya Qatar inaishinikiza FIFA kupiga marufuku kabisa uuzaji pombe katika viwanja vyote vya Kombe la Dunia, siku mbili pekee kabla ya michuano hiyo kuanza. Taifa mwenyeji, ambapo …
Mchezaji wa Manchester United na timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo hatacheza mechi ya Ureno ya kujiandaa na Kombe la Dunia dhidi ya Nigeria siku ya leo kwa sababu …
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na raia wa Ufaransa Anthony Martial huenda akachukua nafasi ya Christopher Nkunku baada ya kupata majeraha kwa mchezaji huyo katika kambi ya timu ya …
Mshambuliaji klabu ya Rb Leipzig na timu ya taifa ya Ufaransa Christopher Nkunku ataikosa michuano ya kombe la dunia bgaada ya kupata majeraha akiwa katika kambi ya timu hiyo huko …
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Senegal Sadio Mane imeelezwa ataukosa mchezo wa kwanza wa kombe la dunia wa taifa lake dhidi ya timu ya …
Timu ya taifa ya Ufaransa chini ya kocha Didier Deschamps imeongeza mchezaji mmoja kwenye kikosi chake na kutimiza wachezaji 26 baada ya hapo awali kuita wachezaji 25 sasa wako tayari …
Winga wa Barcelona na timu ya Taifa ya Brazil Raphinha amesema kuwa haoni wasiwasi wowote katika timu yake ya Brazili kuelekea Kombe la Dunia huku timu hiyo ikimaliza miongo miwili …

