Coastal Union Yaiogopa Yanga 

Klabu ya Coastal Union imeweka wazi hofu yake dhidi ya klabu Yanga kwenye mchezo wao unaotarajia kuchezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha, kutokana na ubora wa kikosi cha timu ya wananchi.

Timu hizo zinatarajia kumenyana kesho jumamosi ukiwa ni mchezo wa ligi kuu Bara huku timu zote zikiwa na pointi tatu baada ya kushinda mechi zao za kwanza.

Mgunda amesema kuwa: “Tunajua tunaenda kucheza na mabingwa watetezi ni timu ngumu, nzuri ina wachezaji ambao wana uzoefu na benchi la ufundi zuri.

“Kwa kutambua hilo tumejiandaa vizuri kwa kuchukua tahadhari zote ambazo zinapaswa kuchukuliwa kutokana na timu kama hiyo tumezichukua.

“Katika wahanga wa kuondokewa na wachezaji wangu katika kikosi cha kwanza na mimi nipo kwani wameondoka wachezaji saba hivyo kuna ongezeko la zaidi ya wachezaji saba lakini ushindi wa juzi umewaongezea morali wachezaji wangu.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.