LA Lakers Wanaikaribia Fainali ya NBA 2020

Katika muendelezo wa fainali ya NBA – Western Conference. LA Lakers wameendeleza ubabe dhidi ya Denver Nuggets.

Mchezo wa 4 umemalizika kwa LA Lakers kushinda pointi 114-108 dhidi ya wapindua meza – Denver Nuggets. Matokeo haya yanawapa Lakers faida ya ushindi wa 4-1 na sasa anahitaji ushindi 1 tu kutinga Fainali ya NBA msimu huu.

Anthony Davis ameendelea kuwa kwenye kiwango thabiti na kuipatoia Lakers pointi 34. LeBron James nae aliongeza pointi zingine 26 na kucheza mipira 9 iliyokufa pamoja na kutoa pasi 8 za magoli.

Japo kuwa Nuggets wamepoteza mchezo, Jamal Murray ameendelea kuwa gumzo na mchezaji muhimu kwenye kikosi chao baada ya kupatia timu hiyo pointi 32.

“Nadhani leo tumecheza tukiwa na nguvu kubwa. Mchezo wa 3 hatukuwa na nguvu za kutosha kuanzia mwanzo mwa mchezo.

“Leo tumeimarika zaidi na tumeutawala mchezo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.” amesema mlinzi wa Lakers – Kentavious Caldwell-Pope.

Mchezo wa 5 utacheza kesho Jumamosi, ushindi kwa Lakers itakuwa ni tiketi ya kucheza fainali dhidi ya mshindi wa Eastern Conference ambapo mpaka sasa, Miami Heats wanaongoza kwa 3-1.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

38 Komentara

    Lakers moja ya timu bora sana ya kikapu Marekani wanaweza fika fainali sababu ya kuwafunga wapindua meza Denver Nuggets na michezo michache iliyobakia kumalizia

    Jibu

    Good news 👍

    Jibu

    Lakers nitimu nzuri inayo sifika uko Marekani na nimchezo unao tamba uko akiyao kucheza fainal

    Jibu

    lakers wapo vizuri sana

    Jibu

    Lakers wapo vizuri

    Jibu

    All the best

    Jibu

    Lakers mabingwa.

    Jibu

    Lakers wanakuja na speed

    Jibu

    Hii mechi hitakua ngumu kwa upande wa la Lakers kwani wapinzani wao nao wapo vizuri hawajawai kupoteza hata mchezo mmoja

    Jibu

    Ubingwa ni wa laker

    Jibu

    Asante kwa nakala

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Ikiwa LA LAKERS itashinda ubingwa wa NBA msimu huu sifa kubwa itakuwa kwa Lebron James aliyefufua matumaini ya LA kuwika baada ya kustaafu kwa Kobe Bryant#meridianbettz

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Nawapongeza sana LA LAKERS kwa kupata point 114 dhidi ya wapinzani wao hilo ni jambo zuri

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Lakers wapo vizur sana

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Lakers hatar sana!!

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Mwendo wa davies na le bron nan wa kuuzuia

    Jibu

    Kila la kher lakers mzuri kusonga mbele

    Jibu

    Nawakubali kinyama

    Jibu

    Big up meridianbet

    Jibu

    Lakers kwani wapinzani wao nao wapo vizuri hawajawai kupoteza hata mchezo mmoja

    Jibu

    Mchezo niupendao

    Jibu

    Lakers chama kubwaaa

    Jibu

    Mchezo bomba

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Lakers wako vizuri ni timu inayofanya vizuri NBA

    Jibu

    Lakers wametishaa sana

    Jibu

    Safi snaa

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Lakers moja ya timu bora sana ya kikapu Marekani wanaweza fika fainali sababu ya kuwafunga wapindua meza Denver Nuggets na michezo michache iliyobakia kumalizia

    Jibu

    Mambo ni moto

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.