Kroos na Modric Wanataka Kuanza Madrid
Viungo wa klabu ya Real Madrid Toni Kroos na Luca Modric wanaelezwa hawana furaha kuanzia benchi kwenye michezo ya klabu hiyo wakati wao wanaamini wanastahili kuanza. Vyanzo vya ndani kutoka …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Viungo wa klabu ya Real Madrid Toni Kroos na Luca Modric wanaelezwa hawana furaha kuanzia benchi kwenye michezo ya klabu hiyo wakati wao wanaamini wanastahili kuanza. Vyanzo vya ndani kutoka …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Luca Modric ameonesha kua hapendezwi na hali ya kukaa benchi ndani ya klabu hiyo hii ikiwa imekuja baada ya mchezaji huyo kutokupata muda wa …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameweka wazi kiungo wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Croatia hana mpango wa kuondoka klabuni hapo. Kiungo Luca Modric amekua …
Kiungo Luca Modric raia wa kimataifa wa Croatia anatarajiwa kua nahodha mpya wa klabu ya Real Madrid msimu ujao baada ya aliekua nahodha wa timu hiyo Karim Benzema kutangaza kuondoka …
Luka Modric anaweza kukosa mechi ya fainali ya Copa del Rey ya Real Madrid dhidi ya Osasuna na mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kua viungo wake wawili wakongwe Luca Modric na Toni Kroos hawachezi ndani ya klabu hiyo kwasababu ya majina yao lakini inatokana …
Kiungo wa klabu ya Real Maddrid na timu ya taifa ya Croatia Luca Modric amesema JudeBellingham hausiani na suala la yeye kuongeza mkataba ndani ya klabu ya Real Madrid. Luca …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Luca Modric amesema anajua klabu ya Liverpool itakua imejiandaa kuhakikisha wanalipa kisasi baada ya kuwafunga katika mchezo wa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya …
Kiungo wa kati wa Real Madrid na Nahodha wa timu ya taifa ya Croatia Luka Modric amekiri kwamba ameshangazwa na kuzorota kwa kiwango cha Liverpool msimu huu. Odds kubwa za …
Carlo Ancelotti ampigia saluti Karim Benzema baada ya nahodha huyo wa Real Madrid kuwa mfungaji bora wa pili wa klabu hiyo kwa ufungaji bora wa muda wote wa LaLiga. …
Kiungo wa timu ya taifa ya Morocco na klabu ya Fiorentina inayoshiriki ligi kuu nchini Italia Sofyan Amrabat amepokea sifa tena kutoka kwa kiungo fundi wa Croatia Luca Modric. Kiungo …
Luka Modric aliiongoza Croatia kutwaa medali ya shaba kwenye Kombe la Dunia siku ya Jumamosi na akafichua kuwa atarefusha maisha yake ya kimataifa hadi 2023 katika jaribio la kushinda Ligi …
Kocha wa timu ya taifa ya Croatia Zlatko Dalic anatamani kuona nahodha wake Luca Modric anakuwepo kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Croatia mpaka kwenye michuano ya Euro 2024. …
Luka Modric Moja ya nyota inayoendelea kung’aa mpaka sasa licha ya kwamba ana umri mkubwa wa miaka 37 lakini Kiungo huyo amekuwa na mchango mkubwa nchini Croatia, taifa lenye watu …
Timu ya taifa ya Argentina itakua uwanjani leo kukipiga na timu ya taifa ya Croatia kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la dunia, Huku watu wengi wakisubiri kati ya Lionel …
Zlatko Dalic ametangaza kwa kujiamini kuwa Kombe la Dunia nchini Qatar halitakuwa mchuano wa mwisho wa Luka Modric huku kocha mkuu wa Croatia akisisitiza kuwa kiungo huyo atajitahidi kujiimarisha. …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga amemsifu kiungo mwenzake wa klabu ya Real Madrid Luca Modric. Kiungo huyo amefunguka kua Modrid anamsaidia …
Luka Modric amesisitiza kuwa Croatia haiko kwenye Kombe la Dunia ili tu kushiriki huku akitaja kuwa wana matamanio makubwa licha ya kuanza michuano hii bila ushindi dhidi ya Morocco. …
Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na magwiji wengine wengi duniani wako kwenye nafasi ya mwisho ya kushinda Kombe la Dunia, kulingana na Arsene Wenger. Meneja huyo wa zamani wa Arsenal …
Kiungo fundi wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Crotia Luca Modric ametimiza mechi ya 450 klabuni dhidi ya klabu ya Sevilla jana usiku katika mchezo waliokua …