Hassan Mwakinyo, bondia Mtanzania amesema kuwa alijipanga kuibuka na ushindi mbele ya mpinzani wake Jose Carlos Pazi wa Argentina jambo lililompa ushindi.
Bondia Mwakinyo usiku wa kuamika leoΒ amefanikiwa kuetetea mkanda wake wa WBF Intercontinental Super Welterweight.
Mwakinyo amemchapa Paz wa Argentina kwa TKO raundi ya nne kwenye Ukumbi wa Next Door Arena.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
Povel
Congrats CHAMPIONS mwakinyoπππππ
Nasra
Hongera sana
aisha
Mwakinyo amekua mpiganaji mzuri
Ester jackson
Asante mwakinyo umeonyesha ushujaa wako umetufanya sisi watazania kutokana kifua mbele kwenye papano lako huku tukiponza maumimu ya kupoteza kwa tunusia
Issa
Mwakinyo anapeperusha bendera vizur ya nchi
Hopemwaikuka
Mwakinyo mtu mbad
Janeflora malisa
Vzr sana
David Pere
Mwakinyo amemchapa Paz wa Argentina kwa TKO raundi ya nne kwenye Ukumbi wa Next Door Arena.
Asia Abdy
Mwakinyo nomaa
Saupha mohamed
Good
Adelta
Mwakinyo ni jembe
zeiyana
pongezi kwake mwakinyo
Rahma
Mwakinyo baba lao
Rahma
Nice
Sauda
Safi sana Mwakinyo
Angelina
Mwakinyo anaipeperusha vema bendera ya Tanzania
Elika
Mwakinyo kama mwakinyo namkubali sana huyu jamaa
Fatina mfigi
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi zake mwakinyo halikuwa amejipanga kikamilifu kwenye pambano hilo
Tatu
Safi sana mwakinyo
lombo
vzr
Sabrina
Mwakinyoo jeshiiii
Magdalena
Mwakinyo yuko vizuri sana katika kazi yake hataki kabisa Masihara
Mwajumah
Mwakinyo ni zaidi ya mpambaji yan anajua sana huyu jamaa
Tahiya
Pongez kwake mwakinyo