Senzo Awataja Mastaa wa Simba

Mshauri Mkuu wa masuala ya Uongozi ya klabu ya Yanga, Senzo Mbatta amesifia viwango vya wachezaji wa Simba walivyoonyesha kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika.

Senzo - simba

Nawaheshimu wachezaji wote niliofanya nao kazi, ukiwaangalia kupitia mechi za CAF, Manula, Kapombe, Chama, Luis (Miquissone), Edward Manyama wa Namungo na Wawa (Paschal) wamefanya vizuri na wanahitaji hatua kubwa zaidi.
Senzo- simbaKauli hiyo aliiandika kupitia ukurasa wake Instagram na imeungwa mkono na wachangiaji wengi katika ukurasa wake baada ya kuonyesha kukubali kile kilichofanywa na wachezaji wa timu pinzani.

Ikumbukwe Senzo kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Mtendaji Mkuu wa Simba (CEO) na alifanya kazi na wachezaji hao.


Bonasi ya 50% Kila Siku Katika Kasino za Evoplay hapa Meridianbet.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

2 Komentara

    Nice

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.