Mike Tyson Aamsha Hisia za Mashabiki wa Ndondi

Tarehe 22 mwezi Novemba 1986 ndio siku ambayo Mike Iron Tyson alikuwa na umri wa miaka 20 ambapo alishinda ubingwa wa ndondi katika uzani mzito zaidi duniani akiwa na umri wa miaka 20 na hivyobasi kutangazwa kuwa bondia mchanga zaidi wa uzani mzito kuwahi kushinda taji hilo baada ya kumshinda Trevor Berbick.

Zaidi ya miaka 33 baadaye, bondia huyo wa zamani alietia fora bado anaweza kujivunia kuwa mtu hatari zaidi duniani.

Tyson mwenye umri wa miaka 53 anathibitisha kwamba tabaka linaweza kudumu baada ya kuchapisha kanda yake ya video akifanya mazoezi ya kupiga begi na kufanya mazoezi ya ndondi.

Bondia huyo alisambaza video fupi ya sekunde tano ikimuonesha akifanya mazoezi  akiwa na kasi,nguvu na ukali iliyopelekea wapenzi wa masumbwi duniani kote kutoa maoni yao kuhusu ubora wa Mike Tyson.

Watu maarufu katika ndondi, na burudani walikuwa wa kwanza kutoa maoni yao.

Mwanamieleka aliyebadilika na kuwa muigizaji wa filamu kwa Jina Dwayne ama ‘The Rock’ Johnson alisema: Narudi katika mazoezi.

         Mike Iron Tyson

Nyota wa mchezo wa UFC Khabib Nurmagomedov alisema: Siwezi kuamini. hiki ni kiwango chengine.

Nyota wa filamu Will Smith alimuita ”shujaa wangu” huku Mfalme wa Podcast Joe Rogan alitumia lugha tofauti kuonyesha furaha yake.

Watu wengi walijadili kuhusu video fupi hiyo iliyo sambazwa na mkali huyo wa ngumi duniani.

David Haye  alisema “Bado ni mtu mbaya sana katika hii sayari” pia rais wa WBC  Mauricio Sulaiman alisema “Tyson ni wa maajabu!”

46 Komentara

    Mike tyson jeshii

    Jibu

    Mnyamaaa mkali wa mawe..katishaaa

    Jibu

    Asanteh kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Atari sana huyu mtu

    Jibu

    The Great Mike Iron Tyson !!! Living legend

    Jibu

    Tyson is iron man 👊👊

    Jibu

    Namkubali sana tyson

    Jibu

    Tyson MTU mbayaa sana mlingoni

    Jibu

    Tyson Yuko vizuri kwenye michezo ya ngumi mashabiki tunafurahia sana

    Jibu

    Mike Tyson ni noma sana

    Jibu

    Tyson bado yupo fit

    Jibu

    Tyson mpiganaji maarufu#meridianbettz

    Jibu

    Tyson mpambanaji sana

    Jibu

    Nikweli namkubali Sana Tyson

    Jibu

    Gwiji la ngumi enzi zake alikuwa m2 hatari#meridianbettz

    Jibu

    Tyson jembe ngumi yake tu jiwe

    Jibu

    Maoni:Mike Tyson bonzia mahili sana namkubali

    Jibu

    Tyson nilikua Namuogopa

    Jibu

    Namkubali sana

    Jibu

    huyu ni hatari sana bado anauwezo

    Jibu

    Hatar Sana bondia Mike Tyson amejitengenezea historian Safi Sana dunian kipind Cha yy alipokuwa ulingon

    Jibu

    Tyson…from street to rock of fame#meridianbettz

    Jibu

    Ni habar njema sana 👍 kumhusu kwan mashabiki tunamtambua Mike Tyson Kama bingwa wa dunia maana alianza ngumi akiwa na umri mdogo sana nakumbuka akiwa na umri wa miaka 15 alishawai kuchukua medal ya olimpic na pia mwaka mwingne akiwa na umri wa miaka 16 akachukua nyingine hivyo kipaji chake kilianza akiwa na umri mdogo sana
    Mei 23 2017 mike Tyson alishawai kusema kupitia jukwaa la salt conference chin ya CNN namnukuu Kama shabiki yake alisema sikudhan Kama angefika miaka 30 maana alijua atakuwa amekufa kutokana na mambo ambayo alivyokuwa anayafanya Kama uvutaji wa bangi kupita kiasi ,unywaji wa pombe kal sana na matumiz ya madawa ya kulevya na mawaka ulimwingne alishawai kuzuiliwa ital asiingie kwenye tamasha na polisi ila baadae akaacha vyote na kuwa mtu wa kawaida kwa upande wangu namkubal sana 👍 huyu jamaa natumain ipo siku tutampata mrithi wake

    Jibu

    gud news

    Jibu

    Tyoson Alitisha sana#Meridianbettz

    Jibu

    Bondia machachar

    Jibu

    Nakubali

    Jibu

    Tyson jesh la mtu mmoja

    Jibu

    Mikel tyson ni mtu hatar sana kwenye masumbwi umalizi raund zote bila kwenda chini na kumnyanyua kua bingwa tyson kwenye pambano lake unaweza kata tiket unaingia ndan tuu unaambiwa pambano limeshaisha mtu yuko chini hii ni storia ya kipekee

    Jibu

    Jeshii

    Jibu

    Miketyson kaacha historian kwenye ndondi

    Jibu

    Japo kastaafu lakini bado yupo vizuri

    Jibu

    Ni bingwa wa dunia ila kipindi icho alikuwa Tishio alikuja kuzingua siku moja lakini bado Eshima yake ipo

    Jibu

    Kwa sisi ambao hatujawahi kumshuhhdi akizichapa lazima tutakuwa na hisia kubwa Sana za kutaka kukuona akipogana tena

    Jibu

    Tayson alikua mtu balaa ulingoni

    Jibu

    Tyson ni bondia mnzuri sana

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Bado ni mtu mbaya sana katika sayari hii Tyson ni mtu wa maajabu

    Jibu

    Mike Tyson ndio alikua bondia hanayependwa kwa kila kijana ambaye aliyekua hanijifunza michezo ya ngumi alikua kivutio kwa vijana wengi na kutaka kua kama alivyo yeye

    Jibu

    Tyson namkubali sana

    Jibu

    Namkubali sna

    Jibu

    Huyu jamaa ngumi jiwe namkubali Sana miaka Mia.

    Jibu

    Tyson enzi zile alikuwa jeshi

    Jibu

    Habar nzur

    Jibu

    Tyson Yuko vizuri sana

    Jibu

    Namkubali Sana uyu jamaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.