Tarehe 22 mwezi Novemba 1986 ndio siku ambayo Mike Iron Tyson alikuwa na umri wa miaka 20 ambapo alishinda ubingwa wa ndondi katika uzani mzito zaidi duniani akiwa na umri wa miaka 20 na hivyobasi kutangazwa kuwa bondia mchanga zaidi wa uzani mzito kuwahi kushinda taji hilo baada ya kumshinda Trevor Berbick.
Zaidi ya miaka 33 baadaye, bondia huyo wa zamani alietia fora bado anaweza kujivunia kuwa mtu hatari zaidi duniani.
Tyson mwenye umri wa miaka 53 anathibitisha kwamba tabaka linaweza kudumu baada ya kuchapisha kanda yake ya video akifanya mazoezi ya kupiga begi na kufanya mazoezi ya ndondi.
Bondia huyo alisambaza video fupi ya sekunde tano ikimuonesha akifanya mazoezi akiwa na kasi,nguvu na ukali iliyopelekea wapenzi wa masumbwi duniani kote kutoa maoni yao kuhusu ubora wa Mike Tyson.
Watu maarufu katika ndondi, na burudani walikuwa wa kwanza kutoa maoni yao.
Mwanamieleka aliyebadilika na kuwa muigizaji wa filamu kwa Jina Dwayne ama ‘The Rock’ Johnson alisema: Narudi katika mazoezi.
Mike Iron Tyson
Nyota wa mchezo wa UFC Khabib Nurmagomedov alisema: Siwezi kuamini. hiki ni kiwango chengine.
Nyota wa filamu Will Smith alimuita ”shujaa wangu” huku Mfalme wa Podcast Joe Rogan alitumia lugha tofauti kuonyesha furaha yake.
Watu wengi walijadili kuhusu video fupi hiyo iliyo sambazwa na mkali huyo wa ngumi duniani.
David Haye alisema “Bado ni mtu mbaya sana katika hii sayari” pia rais wa WBC Mauricio Sulaiman alisema “Tyson ni wa maajabu!”
Njiku
Mike tyson jeshii
Franky
Mnyamaaa mkali wa mawe..katishaaa
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridianbet
Samiah
Atari sana huyu mtu
Ernest
The Great Mike Iron Tyson !!! Living legend
Povel tz
Tyson is iron man 👊👊
Mwanahamisi
Namkubali sana tyson
Saupha mohamed
Tyson MTU mbayaa sana mlingoni
Adelta
Tyson Yuko vizuri kwenye michezo ya ngumi mashabiki tunafurahia sana
Magdalena
Mike Tyson ni noma sana
Leonard
Tyson bado yupo fit
Khadija
Tyson mpiganaji maarufu#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Tyson mpambanaji sana
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli namkubali Sana Tyson
Hamidu
Gwiji la ngumi enzi zake alikuwa m2 hatari#meridianbettz
Dorophina
Tyson jembe ngumi yake tu jiwe
Sabrina
Maoni:Mike Tyson bonzia mahili sana namkubali
Caroline
Tyson nilikua Namuogopa
Furahav
Namkubali sana
devotha
huyu ni hatari sana bado anauwezo
Latifa juma mohamed
Hatar Sana bondia Mike Tyson amejitengenezea historian Safi Sana dunian kipind Cha yy alipokuwa ulingon
Sadick
Tyson…from street to rock of fame#meridianbettz
Gabriel
Ni habar njema sana 👍 kumhusu kwan mashabiki tunamtambua Mike Tyson Kama bingwa wa dunia maana alianza ngumi akiwa na umri mdogo sana nakumbuka akiwa na umri wa miaka 15 alishawai kuchukua medal ya olimpic na pia mwaka mwingne akiwa na umri wa miaka 16 akachukua nyingine hivyo kipaji chake kilianza akiwa na umri mdogo sana
Mei 23 2017 mike Tyson alishawai kusema kupitia jukwaa la salt conference chin ya CNN namnukuu Kama shabiki yake alisema sikudhan Kama angefika miaka 30 maana alijua atakuwa amekufa kutokana na mambo ambayo alivyokuwa anayafanya Kama uvutaji wa bangi kupita kiasi ,unywaji wa pombe kal sana na matumiz ya madawa ya kulevya na mawaka ulimwingne alishawai kuzuiliwa ital asiingie kwenye tamasha na polisi ila baadae akaacha vyote na kuwa mtu wa kawaida kwa upande wangu namkubal sana 👍 huyu jamaa natumain ipo siku tutampata mrithi wake
lombo
gud news
warda
Tyoson Alitisha sana#Meridianbettz
Amiri Kayera
Bondia machachar
Edgar
Nakubali
Theonestina
Tyson jesh la mtu mmoja
Omary lukumbi
Mikel tyson ni mtu hatar sana kwenye masumbwi umalizi raund zote bila kwenda chini na kumnyanyua kua bingwa tyson kwenye pambano lake unaweza kata tiket unaingia ndan tuu unaambiwa pambano limeshaisha mtu yuko chini hii ni storia ya kipekee
Salma
Jeshii
Isaya massawe
Miketyson kaacha historian kwenye ndondi
Theckla
Japo kastaafu lakini bado yupo vizuri
Revina
Ni bingwa wa dunia ila kipindi icho alikuwa Tishio alikuja kuzingua siku moja lakini bado Eshima yake ipo
David Pere
Kwa sisi ambao hatujawahi kumshuhhdi akizichapa lazima tutakuwa na hisia kubwa Sana za kutaka kukuona akipogana tena
Fatuma kasomo
Tayson alikua mtu balaa ulingoni
Tatu
Tyson ni bondia mnzuri sana
Ester jackson
Good news
felister
Bado ni mtu mbaya sana katika sayari hii Tyson ni mtu wa maajabu
Zeiyana
Mike Tyson ndio alikua bondia hanayependwa kwa kila kijana ambaye aliyekua hanijifunza michezo ya ngumi alikua kivutio kwa vijana wengi na kutaka kua kama alivyo yeye
Mariam mtandama
Tyson namkubali sana
Rehema
Namkubali sna
Shafii
Huyu jamaa ngumi jiwe namkubali Sana miaka Mia.
JULIANA
Tyson enzi zile alikuwa jeshi
Hope mwaikuka
Habar nzur
Flomena
Tyson Yuko vizuri sana
Evaluziga
Namkubali Sana uyu jamaa