Golikipa namba moja wa timu ya taifa ya Uingereza Jordan Pickford amepumzishwa na Everton kuelekea mchezo dhidi ya Newcastle, Carlo Ancelotti amesema.
Pickford hakujumuishwa katika kikosi cha Everton kwa mchezo wa Jumapili na nafasi yake imechukuliwa na usajili mpya Robin Olsen akitimiza mchezo wake wa kwanza katika Premier League.
Mlinda lango wa zamani wa Sunderlandalicheza michezo 120 mfululizo kwa michezo ya ligi tangu ajiunge na Everton mwaka 2017, lakini Ancelotti amesisitiza kwamba haikuwa ni mbinu ya kiufundi kwa kufanya maamuzi hayo.
Meneja wa Everton amewahakikishia mashabiki kwamba Pickford atarejea kwa mchezo unaofuata.
“Haikuwa mbinu ya kifundi,” Ancelotti aliiambia Sky Sport. “Nilitaka kumpa mapumziko tu katika mchezo huu na kumpa fursa Olsen ya kuonesha ukali wake.
“Jordan atarejea kwaajili ya mechi ifuatayo dhidi ya Manchester United.”
Everton pia itwakosa watu kama Seamus Coleman na James Rodriguez wanaosumbuliwa na majeraha pia Tyneside pamoja na Lucas Digne na Richarlison ambao wanaadhabu.
Digne alitolewa nje kwa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya Southampton wiki iliyopita.
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.
Issa
Bonge la kipa uingereza
Povel
Yap ni sahihi kumpumzisha wachezaj kwn unatowah nafasi kwa wachezaj wengne kuonyesha uwezo wao kingne unampa nafasi ya kupumzika kwn mashindano yapo mengi kingne unaondokah mchezaj kupata majeruh ya mala kwa mara credit kwake kwa carlo Ancelotti kwa kumpumzisha nyanda wake namba moja pickford๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ
Sabrina
Sio mbaya Pickford kupumzika ilituone huo usajili mpya km yaliyomo yamo
warda
Bora Alivyo punzishwa
Adelta
Kipa Yuko vizuri ๐๐
zeiyana
ni vizuri sana hitampa nafasi kubwa ya kuhusoma mchezo pindi hatakavyo rudi hataimarika hipasavyo
Ester Jackson
Ni njema pia kupumzishwa ilikuwapa wachezaji wengine nafasi ya kuonyesha pia uwezo wao
Dorophina
Kocha yupo sahihi na yy anapata mda wa kupumzika na kuwaachia wengine kuonyesha uwezo wao
Fatina mfigi
Ni Jambo zuri sbabu akirud hatakuw amejifunz mengi
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Bora wampumzishe
Elika
Ni kipa mzuri sana huyo
Tatu
Sio jambo baya kumpunzisha huyu na kumpa nafasi mtu mwingine ili wote kupima uwezo wao
Khadija
Kipa namkubali sana
Mwajumah
Bora alivyopumzishwa tu wala simkubali ata kidogo
Hopemwaikuka
Apumzike kdogo sio mbaya
aisha
Kipa makini sana
Saupha Mohamed
Kipa yupo vizurii
Sauda
Kipa bora kabisa
Fatuma kasomo
Sio mbaya apumzike kidogo
Shani
Kipa namba 1 england