Mshambuliaji wa Borussia Monchengladbach Marcus Thuram amepigwa marufuku kucheza mechi sita na Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) kwa kumtemea mate Stefan Posch wa Hoffenheim.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 tayari amepigwa faini ya mshahara wa mwezi mmoja na Gladbach kwa tukio hilo – lililoonekana na VAR – ambalo lilisababisha kadi nyekundu katika kupoteza kwa Jumamosi 2-1 huko Borussia-Park.
Thuram alisisitiza kuwa haikuwa kitendo cha makusudi lakini aliomba msamaha kwa Posch, Hoffenheim na wachezaji wenzake wa Gladbach, akisema “atakubali matokeo yote yatakayo amuliwa”.
DFB ilithibitisha Jumatatu kwamba Thuram atatumikia adhabu ya kukosa mechi tano katika Bundesliga na DFB-Pokal, na mchezo wa sita umesimamishwa hadi Desemba 21, 2021.
Thuram mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa, ambaye alifunga mabao manne katika mechi 20 kwenye mashindano yote kwa Gladbach msimu huu, pia ametozwa faini ya Euro 40,000.
Akizungumzia juu ya tukio hilo mwishoni mwa wiki, mkurugenzi wa michezo wa Gladbach, Max Eberl alisema:“Nilikuwa na mazungumzo marefu na Marcus asubuhi ya leo, ambapo aliomba msamaha kwangu na kwa klabu kwa mara nyingine kwa kitendo chake.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???
Issa
Iwe fundisho kali
samiah
Inaitajika nidham
Saupha mohamed
Nidham ifate mkondo wake
Shakila mrope
Iwe funzo kweri
Flomena
Good
Sarah
Amepata fundisho
Caroline
Ana tabia mbaya uyu
Dorophina
Amestahili kupata adhabu hiyo iwe fundisho kwa wachezaji wengine
Hopemwaikuka
Kiranga komo
aisha
Duuuh sio powa
Asia Abdy
Safi litakua fundisho
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa hiyo
David Pere
Thuram mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa, ambaye alifunga mabao manne katika mechi 20 kwenye mashindano yote kwa Gladbach msimu huu, pia ametozwa faini ya Euro 40,000.
farida ahmad
Utovu wa nidhamu
Tatu
Itakuwa fundisho
warda
Tabia mbaya sana afungiwe tu