Bale Aipatia Wales Sare Dakika za Jioni
Gareth Bale ameipatia sare timu yake ya Wales katika dakika ya 82 baada ya kuwa walitanguliwa kufungwa bao na timu ya Taifa ya Marekani kipindi cha kwanza katika michuano ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Gareth Bale ameipatia sare timu yake ya Wales katika dakika ya 82 baada ya kuwa walitanguliwa kufungwa bao na timu ya Taifa ya Marekani kipindi cha kwanza katika michuano ya …
Gareth Bale yuko fiti kwa asilimia 100 na yuko tayari kwenda Kombe la Dunia akiichezea timu ya Taifa ya Wales baada ya kusumbuliwa na majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja. …
Gareth Bale anaripotiwa kushinda vita yake ya kuwa fiti kuelekea Kombe la Dunia baada ya kupata jinamizi la jeraha tangu ahamie Marekani. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 ameanza …
Kocha wa timu ya taifa ya Wales Rob Page amesema hana wasiwasi na staa wa timu hiyi Gareth Bale alietimkia ligi kuu ya marekani inayofahamika kama Major League Soccer (MLS)katika …
Klabu ya Los Angeles FC imethibitisha kumsajiri mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Real Madrid baada ya kumaliza mkataba wake. Gareth Bale siku …
Mashambuliaji nyota wa kimataifa wa Wales Gareth Bale anaenda kuanza maisha mapya kwenye jiji la California nchini Marekani baada ya kufikia makubaliano na timu ya Los Angeles FC inayoshiriki ligi …
Gareth Bale Ameikataa hadharani klabu ya Getafe baada ya kuwepo kwa mjadala wa kwamba nyota huyo wa Wales anaweza kujiunga na klabu hiyo ya LaLiga. Angel Torres alikiri kwamba Mchezaji …
Muda wa Gareth Bale na Real Madrid umefika mwisho ambapo mkataba wake utaacha kufanya kazi Juni 30 na tayari amewaaga Real Madrid. Kwa miaka mingi Bale am,ekuwa akihusishwa kutemana na …
Wakala wa mchezaji wa klabu ya Real Madrid Gareth Bale amethibitisha kuwa mteja wake huyo ataondoka kwenye klanye klabu hiyo msimu huu baada ya mkataba wake na mabingwa wa Hispania …
kiungo wa klabu ya Real Madrid Casemiro amesimama na kumtetea mchezaji mwenzake Gareth Bale baada ya mashabiki wa klabu hiyi kumzomea kwa dhihaka wakati akijaanda kuingia kwenye mchezo wa wikiendu …
Mchezaji Gareth Bale alifunga mabao mawili katika ushindi wa 2-1 wa Wales dhidi ya Austria katika mchezo wa nusu fainali ya mchujo katika kutafuta tiketi ya kushiriki michuano ya kombe …
Carlo Ancelotti ameeleza sababu ya kukosekana kwa Gareth Bale kwenye kikosi cha Real Madrid cha Clasico siku ya Jumapili. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Wales alipewa nafasi ya kuanza dhidi …
Gareth Bale tayari anaripotiwa kuwa amekubali kuhama kabla ya kumalizika kwa mkataba wake Real Madrid. Mchezaji huyo wa Wales amekuwa na wakati mgumu kwa kukosa muda wa kutosha wa kucheza …
Mwaka 2022 unaweza kuwa ni mwaka ambao utatawaliwa na matukio makubwa kwenye ulimwengu wa soka. Gareth Bale anaweza kuwa miongoni mwa matukio ya mwaka 2022. Miongoni mwa matukio makubwa yanayotegemewa …
Tottenham Hotspur inaripotiwa kutafakari kuungana tena na Gareth Bale kwenye dirisha la usajili la Januari. Licha ya panda shuka wakati wa mkopo wa msimu mzima huko London Kaskazini msimu wa …
Hali ya majeruhi ya Real Madrid inaendelea kuimarika, huku Gareth Bale akirejea mazoezini. Los Blancos walikuwa na changamoto ya majeruhi mapema msimu huu wakiwa wameanza vibaya msimu kutokana na majeraha. …
Wakala wa Gareth Bale Jonathan Barnett, amewatupia lawama mashabiki wa Real Madrid kuwa walichangia nyota huyo kutokuwa na furaha Real Madrid. Staa huyu amekuwa na mafanikio makubwa akiwa na Real …
Bale hatakuwepo kwenye kikosi cha Wales kitakacho menyena na timu ya taifa ya Ubelgiji kwenye mchezo wa kufuzu kombe la Dunia siku ya jumanne. Gareth Bale ambaye siku ya jumamosi …
Gareth Bale amekuwa mchezaji wapili kwenye timu ya taifa ya Wales kuweza kufikisha michezo 100 ya kimataifa baada ya Chris Gunter. Gareth Bale hakuonekana kwa takribani kipindi cha miezi miwili …
Miamba wa Ligi Kuu Uingereza, Tottenham Hotspurs wameripotiwa kuwa hawana mpango tena wa kumrejesha Gareth Bale klabuni hapo. Gareth Bale alifanya vyema sana alipokuwa na Spurs miaka ya 2007 hadi …