Manuel Neuer Aweka Rekodi Bundesliga.
Kumekucha kwenye ligi soka nchini Ujerumani, golikipa wa Bayern Munich – Manuel Neuer ameweka rekodi kwenye ligi ya Bundesliga. Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ya soka, Manuel Neuer …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kumekucha kwenye ligi soka nchini Ujerumani, golikipa wa Bayern Munich – Manuel Neuer ameweka rekodi kwenye ligi ya Bundesliga. Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ya soka, Manuel Neuer …
Youssoufa Moukoko amekuwa mchezaji mdogo zaidi kucheza katika ligi ya Bundesliga baada ya kuichezea Borussia Dortmund mchezo wake wa kwanza dhidi ya Hertha Berlin siku ya Jumamosi. Moukoko ambaye …
Nyota wa Real Betis Marc Bartra anaamini elimu aliyo ipata Bundesliga ilimsaidia kupeleka soka lake katika kiwango kikubwa. Bartra mwenye umri wa miaka 29, alijifunza biashara yake alikuwa katika akademi …
Ratiba ya Bundesliga imetoka kwa msimu 2020-21 na timu ya Bayern Munich imepangwa kukutana na timu ya Schalke katika dimba la Allianz Arena siku ya Septemba 18 kwenye mchezo wa …
Wakala wa Tahith Chong amesema sema kinda huyo anataka kwenda ligi ya Bundesliga hali ya kuwa Werder Bremen wameripotiwa kuwa karibu kumaliza dili hiyo ya mkopo na mchezaji huyo wa …
Klabu ya Werder Bremen imeponea chupuchupu kushuka daraja ya ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani Bundesliga baada ya kuwazidi nguvu timu ya Bundesliga ya daraja la pili Heidenheim kwa kanuni …
Nyota wa Bayern Munich Robert Lewandowski ashinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu Bundesliga. Msimu huu umekuwa na changamoto kwa klabu nyingi. Lakini Lewandowski amekuwa mchezaji wa kwanza kuona nyavu …
Goli la Robert Lewandowski katika mechi ya jana dhidi ya Werder Bremen liliwasaidia Bayern Munich kuibuka na ushindi wa goli 1-0 na hivyo kuwafanya Bayern kutawazwa mabingwa wa Bundesliga msimu …
Bayer Leverkusen v Schlake 04 Bayer Leverkusen wamelazimishwa sare ya 1-1 na wachovu Schalke 04. Matokeo hayo yanawafanya Leverkusen wafikishe alama 57 huku wakiwa nafasi ya nne katika msimamo wa …
Weston McKennie anarejea tena uwanjani mara baada ya kumaliza kutumikia kifungo chake kwa Schalke wakati wakiwakaribisha mahasimu wao, Bayer Leverkusen kwenye gemu ya mwisho ya Mechidei ya 31. Meridianbet.co.tz inaangalia …
Bundesliga wameonyesha kuungana na maandanao ya watu weusi yenye jina Black Lives Matter baada ya baadhi ya timu kuonyesha ishara ya kuunga mkono maandano hayo. Borussia Dortmund na Hertha Berlin …
Erling Haaland alipumzishwa kwenye gemu ya Borussia Dortmund waliyoshinda 6-1 wakiwateketeza akina Paderborn kwa sababu ya kuwa na majeraha ya goti. Atarejea tena uwanjani wakati wakienda kuumana na Hertha Berlin? …
Klabu ya soka ya Borussia Monchengladbach ni moja ya klabu kubwa sana kule Ujerumani na ilianzishwa mwaka 1900 huko West Germany. Kwa sasa klabu hiyo inashiriki ligi kuu ya nchini …
Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga leo kuna mechi mbili, mechi ya mapema itapigwa pale Borussia-Park (Mönchengladbach) majira ya saa10:30 na nyingine itapigwa Benteler Arena (Paderborn) saa 1:00 usiku. 1. B. …
Mchezaji Thiago Alcantara hakuwemo wakati klabu ya soka ya Bayern Munich inaumana na mahasimu wao wa jadi, Borussia Dortmund kwenye Der Klassiker. Meridianbet inaangalia nani atakuwemo na nani hatokuwemo katika …
Mchezaji Thiago Alcantara hatokuwemo wakati klabu ya soka ya Bayern Munich inaumana na mahasimu wao wa jadi, Borussia Dortmund kwenye Der Klassiker. Meridianbet inaangalia nani atakuwemo na nani hatokuwemo katika …
Ligi ya Ujerumani inapigwa leo kwa mechi tatu, ikumbukwe kuwa Ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga ndio Ligi pekee ya Barani Ulaya iliyorejea mapema ukiachana na Ligi zingine zilizomalizika kama …
Ni muda wa mechidei ya 27 ya michuano ya Bundesliga. Borussia Dortmund wanatarajia kuwa kepteni wao, Marco Reus atarejea kabla ya kumalizika kwa msimu huu… Meridianbet.co.tz inaangalia nani ambaye atakuwepo …
Habari zenu? Wikiendi iliyopita mkeka wangu wa Bundesliga nilioposti hapa ulishinda na ulikuwa ni katika gemu za Bundesliga ikiwa ni mara baada ya kurejea tena uwanjani. Ni matumaini yetu kuwa …
Habari zenu? Wikiendi iliyopita mkeka wangu nilioposti hapa ulishinda na ulikuwa ni katika gemu za Bundesliga ikiwa ni mara baada ya kurejea tena uwanjani. Ni matumaini yetu kuwa wikiendi hii …