Simba na Yanga Mambo Safi, Makampuni Yamwaga Fedha

Imeandikwa na Jemedari Said
HATUA na kila hatua duah..! Kama unajua namna Simba na Yanga zilivyohangaika na mikataba ya kulaliwa laliwa, ukiona hivi unawapongeza.

Kila upande umepata kutokana na thamani yake sokoni kwa sasa. Simba SC sio siri soko lake KIMATAIFA ni zaidi Klabu yoyote nchini.

Yanga SC kwakile ilichofanya msimu jana wanastahili walichpata pia, kwenye soko la NDANI wao ni baada ya Simba SC.

simba na yanga
simba na yanga

Matokeo ya msimu mmoja hayawezi kuwafanya kuwa juu ya Mnyama ila wanakwenda vizuri, wanapaswa kutetea Makombe yao lakini pia wafanye vyema kimataifa.

Hakuna ubishi kwamba zile robo fainali 3 mashindano ya Afrika na ubingwa mara 4 mfululizo Ligi Kuu pamoja na FA CUP 2 ndiyo umeweka tofauti na Klabu nyingine sokoni ndani na nje kwa Simba SC na kuleta 26.1B

NB: Kazi nzuri ya Baba, huleta Chakula kizuri mezani. Mnyama kafanya kazi nzuri misimu 4 wacha wapate dili nene.


Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.