Dodoma Jiji Yamtangaza Kocha Medo.

Klabu ya Dodoma Jiji kutoka mkoani Dodoma imemtangaza kocha mpya wa klabu hiyo raia wa Brazil Melis Medo mapema leo.dodoma jijiDodoma Jiji wamemtangaza kocha Medo baada ya kumfukuza aliekua kocha raia wa Burundi Maoud Djuma baada ya kupata matokeo yasiyoridhisha katika ligi kuu ya NBC msimu huu.

Medo ambaye ni kocha wa zamani wa Coastal Union ni rasmi ataiongoza timu ya walima dhabibu kutoka mkoani Dodoma kwa muda ambao haujawekwa wazi na taarifa ya klabu hiyo.

Klabu ya Dodoma Jiji mpaka sasa huyu ni kocha wa pili msimu huu baada ya kumtimua Masoud Djuma ambae alichaguliwa kua kocha wa timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu.dodoma jijiKlabu hiyo baada ya kumtangaza raia huyo wa Brazil matarajio yao makubwa ni kuona kocha Medo anabadilisha upepo uliokua klabuni hapo na kuanza kupata matokeo chanya ndani ya timu hiyo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.