Azam wawasili Mbeya kuikabili Prisons

KIKOSI cha Azam tayari kimewasili Jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho ijumaa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

azamAzam baada ya kucheza mechi nne tayari wamefanikiwa kukusanya pointi nane huku wakiwa nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi.

Akizungumza baada ya kuwasili Jijini Mbeya, Ofisa Habari wa Azam, Thabit Zakaria ‘Zaka zakazi’ amesema kuwa “Kwanza tunashukuru tumefika salama hapa Mbeya kwa ajili ya mchezo wetu wa kesho.

azam“Tumesafiri na jumla ya wachezaji 20 ambao wapo fiti na wanaweza kuipambania nembo ya klabu katika kuhakikisha tunaibuka na ushindi kwenye mchezo huo.

“Acha tuone mchezo utakuwaje lakini naa

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.