Kwani Los Angeles Lakers Wamekumbwa na Nini?
Timu ya Los Angeles Lakers wanapitia kipindi kigumu kwa sasa na wameenda bila ushindi wowote katika mchezo wa pre-season wa kirafiki dhidi Sacramento Kings kwa alama 116 – 112. Kwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Timu ya Los Angeles Lakers wanapitia kipindi kigumu kwa sasa na wameenda bila ushindi wowote katika mchezo wa pre-season wa kirafiki dhidi Sacramento Kings kwa alama 116 – 112. Kwa …
Klabu ya Los Angeles Lakers wamesajili rasmi mkongwe DeAndre Jordan kwenye orodha yao, baada ya kutangaza rasmi jana [Alhamisi] usiku. Masharti ya usajili huo hayajatolewa, ingawa jarida la …
Rajon Rondo anatarajiwa kusaini kandarasi ya mwaka mmoja na Los Angeles Lakers Jumanne hii, kupata kurudi kwenye timu aliyoshinda nayo ubingwa wa NBA mwaka 2020. Baada ya kukubali kusaini mkataba …
LeBron James ametangaza kwenye The ESPYs hapo jana kwamba atacheza msimu mwingine kwa Los Angeles Lakers. LeBron mwenye miaka 38, alisema atarejea kwa msimu wake wa 21 wa NBA …
LeBron James atilia shaka mustakabali wake na Los Angeles Lakers baada ya kushindwa kwao kwa kumaliza msimu na Denver Nuggets. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38, mfungaji bora …
Safari ya matokeo mabaya kunako NBA msimu huu, imetamatika kwa LA Lakers kutupwa nje ya mashindano hayo kwa mwaka huu. Lakers wamejikuta wakimaliza mzunguko wa kwanza wakiwa nafasi ya 11 …
King LeBron James leo alfajiri ameiongoza timu yake ya Los Angeles Lakers kupata ushindi wa vikapu 110 dhidi ya 106 vya Detroit Pistons, wakati mbabe huyo akifunga akifunga vikapu …
Wanayopitia Manchester United kwenye soka, kinafanana na wanachopitia LA Lakers kwenye NBA msimu huu. Lakers wamejikuta wakiambulia kipigo cha 5 kati ya michezo 7 waliyocheza hivi karibuni. Hali sio shwari …
Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo (Jumamosi). LA Lakers na Miami Heats, wamerejea mzigoni. Baada ya kupoteza michezo yao (kabla ya wikiendi hii), hatimaye timu hizi zimeonesha …
Timu ya Los Angels Lakers imefanikiwa kuifunga Brooklyn Nets ya Durant alama 126 kwa 101. Katika mechi ya jana, Lakers walionekana kutawala mchezo huo kiwango kikubwa. Viajan wa Los Angels …
Katika muendelezo wa ligi ya NBA, Miami Heats walikuwa uwanjani wakichuana na LA Lakers. Huu ni mchezo ulioturudisha kwenye fainali ya msimu uliopita. Lakers walipambana na Heats kwenye fainali ya …
Hakika NBA msimu huu mambo ni moto! Sio kwenye Eastern wala sio Western Conference, kote mambo ni mazito. Utah Jazz na LA Lakers, vita ya kusaka ubingwa inaendelea kuwa ya …
Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo ambapo Mabingwa watetezi, LA Lakers, wamejikuta wakiotolewa umaarufu kwa kupoteza mchezo dhidi ya Tha Philadelphia 76ers. Lakers walikuwa na rekodi ya …
Tukizungumzia derby sio tu kwenye soka, hata mchezo wa kikapu unaderby zake. LA Lakers na LA Clippers ni majirani, ila wamepata matokeo tofauti usiku wa kumkia leo. Lakers walikuwa uwanjani …
La Lakers wameondoka na ushindi kwa mara ya pili mfululizo wakati ambapo Milwaukee Bucks wamewagaragaza Chicago Bulls usiku wa kuamkia leo. Lakers walikuwa uwanjani kuchuana na San Antonio Spurs ambapo …
Wachezaji wawili wa Miami Heat, Bam Adebayo na Goran Dragic watakaa nje kwa mchezo wa fainali za NBA dhidi ya Los Angeles Lakers siku ya Ijumaa. Mchezaji wa kati wa …
Kunako anga la NBA. Los Angeles Lakers wameianza vizuri hatua ya mtoano katika mchezo dhidi ya Portland Trail Blazers kwa ushindi wa pointi 111-88. Ushindi wa LA Lakers unafanya matokeo …
Mchezaji wa Portland Trail Blazer Damian Lillard alifanikiwa kufunga alama 34 katika mchezo wao dhidi ya Los Angeles Lakers iliyokuwa na staa wao hatari Lebron James. Lillard aling’aa katika mchezo …
Beki raia wa kimataifa wa Italia Giorgio Chiellini ametangaza kustaafu soka rasmi akiwa na umri wa miaka 39 ndani ya klabu ya Los Angeles Lakers baada ya kuutumikia mchezo huo …
LeBron James anakosa mchezo wa Los Angeles Lakers dhidi ya Memphis Grizzlies baada ya kuonekana kupata jeraha katika mechi yake ya mwisho. James alikuwa akichechemea hadi mwisho wa ushindi …