Makala nyingine

Klabu ya Tottenham Hotspur imethibitisha kufanikisha usajiri wa mchezaji kutoka klabu ya Udinese ya Italia Destiny Udogie kwa ada yauhamisho  wa kiasi cha €18milioni huku kukiwa na kipengere cha pesa …

Mchezaji nyota wa klabu ya Juventus Paul Pogba ambaye alipaswa kufayiwa upasuaji siku ya leo jijini Lyon nchini Ufaransa umeahirishwa mpaka siku ya kesho kwa sababu ya kupata uthibitisho ikiwa …

Paul Pogba hatosafiri kwenda nchini Marekani kwaajili ya mchezo wa kirafiki wa Juventus dhidi ya Barcelona siku ya Jumanne huko Las Vegas sababu ya kukabliwa na jeraha la paja. Mchezaji …

Klabu ya Napoli inayoshiriki ligi kuu ya Italia Serie A imepinga taarifa zilizosambazwa na vyombo vya habari nchini humo kuwa klabu hiyo imeuzwa. Vituo kadhaa vya runinga nchini humo vikiongozwa …

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Argentina Amejiunga rasmi na klabu ya Roma kwa uhamisho huru na kusaini kandarasi ya miaka mitatu huku kukiwa na kipengere cha thamani ya €20milion kwa …

Paulo Dybala amesaini kusaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Roma baada ya mkataba wa mchezaji huyo na Juventus kufika tamati. Roma wamezibwaga klabu za Inter na Napoli kuinasa …

Mabingwa wa nchini Italia Serie A wamekamilisha usajiri wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Divock Origi kutoka klabu ya Liverpool kwa uhamisho huru. Divock Origi ameondoka nchini Uingereza baada ya …

Klabu ya Inter Milan imekamilisha usajiri wa mchezaji wa kimataifa wa Armenia Henrikh Mkhitaryan kutoka klabu ya AS Roma ambapo kiasi kilichotumika kwenye usajiri huo hakijawekwa wazi. Henrikh Mkhitaryan amekuwa …

Klabu ya Inter Milan imethibitisha kumalizana na klabu ya Chelsea kufanikisha uhamisho wa Romelu Lukaku kwa mkopo wa muda mrefu ambapo kiasi cha  €8.5milioni kimetumika kukamilisha uhamisho huo. Romelu Lukaku …

Klabu ya AS Roma na Barcelona walipanga kucheza kwenye mashindano ya Joan Gamper mwaka huu kwenye kipindi cha pre season ambapo walipanga kucheza August 6 kwenye dimba la Camp Nuo …

1 2 3 24 25 26 27 28 29 30 68 69 70