Simba SC Yatambulisha Mbrazil-Roberto Oliveira
Klabu ya Simba SC mapema hii imemtambulisha kocha mpya Roberto Oliveira (Robertinho) kuwa kocha mkuu, nafasi iliyokuwa inashikiliwa kwa muda na Juma Mgunda. Kocha huyo mpya ni raia wa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Simba SC mapema hii imemtambulisha kocha mpya Roberto Oliveira (Robertinho) kuwa kocha mkuu, nafasi iliyokuwa inashikiliwa kwa muda na Juma Mgunda. Kocha huyo mpya ni raia wa …
BAADA ya KMC kupoteza mchezo wao wa tatu kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya NBC kwa mabao 1-3 dhidi ya Mnyama Simba SC, KOCHA wa timu hiyo Thiery …
Zikiwa zimebaki siku chache kuelekea kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili mwezi Januari, tayari taarifa za baadhi ya wachezaji kutoka timu mbalimbali wameanza kuhusishwa kuhitajika na timu nyingine ikiwemo klabu …
Clatous Chota Chama Mwamba wa Lusaka, ni hatari sana, Ilikuwa ni mwaka 2017 kwenye ardhi ya Tanzania ilishuhudia kiumbe cha ajabu kwenye soka kuwahi kutokea kucheza Ligi ya Tanzania. …
UONGOZI wa Simba SC leo nataka kusema nanyi jambo moja ambalo huenda hata mashabiki wa timu yenu huenda wanawaza watasema wapi ili sauti zao zisikike na kero iwafikie wahusika. Kwakuwa …
KLABU ya Simba SC katika kujiimarisha kwenye safu yao ya Ushambuliaji, Taarifa za chini ya buswati zinasema kwamba wanafuatilia mwenendo wa straika anayekipiga kwenye timu ya Najran ya nchini Saudi …
NAHODHA wa Mabingwa wa Ligi ya wanawake nchini Tanzania, Simba queens Opa Clement ameushukuru uongozi wa klabu hiyo kwa kutoa ushirikiano kwa wachezaji wote ili kufikia malengo waliyoyaweka ikiwemo kufuzu …
NAHODHA Msaidizi wa Simba SC, Mohamed Hussein amesema kuwa Simba SC ni timu kubwa ya mataji hivyo wataenda kupambana kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Nyasa Big Bullet. Mchezo huo …
BEKI wa Kimataifa wa Kenya, Joash Onyango amerejea kikosini baada ya kutokuwa sehemu ya kikosi hicho kwa takribani wiki 2. Onyango amerudi kujiunga na kikosi cha Mnyama kilichotoka Malawi kucheza …
Kocha Mkuu wa Nyasa Big Bullets Calisto Pasuwa alisema kuwa, sababu kubwa ya timu yake kupoteza mchezo wao ya mkondo wa kwanza kwa bao 2 kwa 0 dhidi ya miamba …
Kocha wa Simba SC Juma Mgunda Maarufu kama Pep Guardiola wa Bongo, mara baada ya kupata ushindi wa magoli 2-0 wakiwa ugenini, dhidi ya Nyasa Big Bullets kwenye mechi ya …
Klabu ya Simba SC imemaliza kufanya maandalizi yote kuelekea mchezo wao wa leo hatua ya kwanza, wakiwa ugenini kucheza na Nyasa Big Bullets huko Lilongwe Malawi. View this post …
Simba SC, imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji bora kwa mwezi Agosti kwa kupata kura nyingi kutoka kwa mashabiki. Kiungo huyo ameanza kwa kasi msimu wa 2022/23 ambapo kwenye mechi mbili …
UONGOZI na benchi la ufundi la Simba SC kupitia kwa kocha wao msaidizi, Selemani Matola, umeweka wazi kuwa unaamini michezo miwili ya kimataifa dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana na …
Sadio Kanoute kiungo wa kimataifa wa Mali imethibitishwa na uongozi wa klabu ya Simba SC kuwa ameshindwa kusafiri na timu hiyo na atakosa michezo yao miwili ya kimataifa ya kirafiki …
Kikosi cha Simba kiliwasili siku ya jana nchini Sudan kwa mualiko maalum kutoka kwa wenyeji wao Al Hilal ambao wamewaalika Simba kucheza mechi mbili za kirafiki. Wakiwa Sudan, Simba waliendelea …
Ilikuwa ni majira ya saa 10 ya Alfajiri ya leo ambapo wachezaji 19 na viongozi wa Simba Sc, wamesafiri kwenda nchini Sudan kwaajili ya kushiriki mashindano yaliyoandaliwa na wenyeji wao …
Simba SC baada ya kumtambulisha nyota wao, Nelson Okwa, Uongozi wa wa klabu hiyo umefunguka kwamba amebaki mchezaji mmoja anayecheza kwenye nafasi ya straika kwa ajili ya kufunga usajili wao. …
Klabu ya Simba SC imetangaza kuachana na beki wa kati raia wa Ivory Coast, Pascal Wawa msimu huu mkataba wake utakapokamilika mwishoni mwa mwezi huu. Baada ya kuitumikia Simba …
Klabu ya Simba SC imethibitisha kumuuza kiungo mshambuliaji, Rally Bwalya leo Ijumaa jioni (Juni 16), baada ya kufikiwa kwa makubaliano rasmi kati ya pande hizo mbili. Simba SC kupitia …