Habari kutoka vyombo mbalimbali vya michezo nchini Argentina vimethibitisha Legendi wa Soka Diego Armado Maradona amefariki dunia akiwa na miaka 60.
Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1986 alipata tatizo la shambulio la Moyo (Cardiac Arrest) alipokuwa nyumbani kwa mapumziko baada ya kufanyiwa oparesheni ya kuondoa damu iliyoganda kwenye ubongo.

Taarifa hizo za kusikitisha zimetolewa na Mwanasheria wake muda mchache baada ya habari hizo za kusikitisha kutokea.
Mchezaji huyo wa zamani wa Boca Juniors, Barcelona na Napoli anachukuliwa kama mmoja wa wachezaji bora kuwahi kucheza Soka.

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Latifa juma mohamed
Rest in peace Diego maradona daim tutaendelea kukumbuka kwa mchango wako.
magdalena
pumzika kwa amani legend
Rahma
R.l.p apumzike kwa aman
Shakila mrope
Pumzika kwa amani
Adelta
Tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi
Pumzika kwa amani 😭😭
Ester jackson
Sote tutarudi mavumbili pumzika kwa amani
Povel
Ri p almando diego maradona
Sauda
R.I.P Maradona
Dorophina
Rip maradona pumzika kwa amani
Fatina mfingi
Pumzika kwa amani
Tatu
Apumzike kwa amani
Lydia Emmanuel Magoti
Mungu mraze mahara pema peponi maradona
Samira
Pumzika kwa amani Diego Maradona
Saupha mohamed
Pumzika kwa amani maradona
aisha
Apumzike kwa amani
Genia Sikaluzwe
R.I.p apumzike kwa amani
samiah
Pumzika kwa amani
Hopemwaikuka
Rest well legend
Tahiya
Pumzika kwa amani mwamba
warda
Punzika kwa amani