This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Pochettino Akerwa Kuulizwa Hatma Yake Chelsea
Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea Mauricio Pochettino ameoneshwa kuchukizwa na maswali ya hatma yake ndani ya klabu hiyo na kua huenda akaondoka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa …
Ten Hag Kumbe Alimtaka De Jong Acheze na Casemiro
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag leo amefunguka kua ni kweli alimuhitaji kiungo wa klabu ya Barcelona aje klabuni hapo pamoja na kiungo Carlos Casemiro kutoka klabu …
SIMBA NA AZAM JOTO LIKO JUU KUELEKEA MCHEZO WAO
ULE mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki Bongo Mzizima Dabi kati ya Simba dhidi ya Azam Fc umepangiwa tarehe na sasa siku zinahesabika kufika muda wa wababe wawili kusaka …
AZAM FC WANATAMBA NAMUNGO NAO WANATAMBA
MATAJIRI wa Dar Azam FC leo Mei 3, 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex …
AHMED ALLY: SIMBA NDO TIMU YENYE WACHEZAJI BORA ZAIDI
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally, ametoa kauli ya kibabe, akisema timu ndiyo yenye wachezaji bora kuliko timu yoyote nchi hii. Kauli hiyo inakuja baada ya uvumi …
AZAM WANASHUSHA MAJEMBE TU
KLABU ya Azam imefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) kumsajili kiungo mshambuliaji, Franck Tiesse. kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa 2024-25. Tiesse (26) anayesifika kwa …
SIMBA BADO WANAPATA TABU
NAMUNGO walikomba pointi moja mbele ya Simba kwa sare ya kufungana mabao 2-2 mchezo wa mzunguko wa pili, Uwanja wa Majaliwa Jana usiku. Licha ya Simba kuanza kufunga kila kipindi …
MTIBWA SUGAR WANAHITAJI MAOMBI
NDANI ya msimu wa 2023/24 yamekuwa ni mapito magumu kwa Mtibwa Sugar inayopambana kubaki ndani ya ligi kwa kusaka matokeo katika mechi zilizobaki. Sio nyumbani wala ugenini hali haijawa nzuri …
SIMBA NA YANGA WANAWACHANGIA TFF
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini imezitoza faini Simba na Yanga kutokana na kosa la kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango …
SIMBA KUIFUATA KAGERA KINYONGE
BAADA ya kugawana pointi mojamoja dhidi ya Namungo, Uwanja wa Majaliwa kete inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola …