This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Maguire Nje Wiki Tatu
Beki wa klabu ya Manchester United Harry Maguire inaelezwa amepata majeraha ya misuli ambayo yatamueka nje ya uwanja kwa muda wa wiki tatu na kuelezwa anaweza kurejeas kwenye mchezo wa …
David Moyes Kutimka Westham
Kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes ambaye anafundisha klabu ya Westham United kwasasa anatarajiwa kutimka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Klabu ya Westham mpaka sasa …
Chelsea Yajipigia Westham Mkono
Klabu ya Chelsea imetakata ikiwa katika dimba lao la Stamford Bridge baada ya kuibamiza klabu ya Westham United kwa jumla ya mabao matano kwa bila katika mchezo wa ligi kuu …
Borussia Dortmund Wana Mpango wa Kumbakiza Sancho
Klabu ya Borussia Dortmund kupitia kwa mkurugenzi wa klabu hiyo Sebastian Kehl ameeleza mpango wao ni kutaka kumbakiza winga Jadon Sancho anayekipiga klabuni hapo kwa mkopo akitokea Man United Jadon …
Michael Olise Kwenye Rada za United
Winga wa klabu ya Crystal Palace raia wa kimataifa wa Ufaransa Michael Olise yupo kwenye rada za klabu ya Manchester United kuelekea dirisha kubwa la usajili mwezi Julai mwaka huu. …
Pochettino Akerwa Kuulizwa Hatma Yake Chelsea
Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea Mauricio Pochettino ameoneshwa kuchukizwa na maswali ya hatma yake ndani ya klabu hiyo na kua huenda akaondoka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa …
Ten Hag Kumbe Alimtaka De Jong Acheze na Casemiro
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag leo amefunguka kua ni kweli alimuhitaji kiungo wa klabu ya Barcelona aje klabuni hapo pamoja na kiungo Carlos Casemiro kutoka klabu …
SIMBA NA AZAM JOTO LIKO JUU KUELEKEA MCHEZO WAO
ULE mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki Bongo Mzizima Dabi kati ya Simba dhidi ya Azam Fc umepangiwa tarehe na sasa siku zinahesabika kufika muda wa wababe wawili kusaka …
AZAM FC WANATAMBA NAMUNGO NAO WANATAMBA
MATAJIRI wa Dar Azam FC leo Mei 3, 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex …
AHMED ALLY: SIMBA NDO TIMU YENYE WACHEZAJI BORA ZAIDI
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally, ametoa kauli ya kibabe, akisema timu ndiyo yenye wachezaji bora kuliko timu yoyote nchi hii. Kauli hiyo inakuja baada ya uvumi …